Walikimbia Moscow Mjerumani alipigana vita pande 4 tofauti angalia vita mwaka 1939 mpaka 1942 uone nani alikua anaongoza. Russia vita anazoshinda zi zile za makoloni yake ya ussr alibamizwa na Japan mwaka 1905 na navy yake yote iliharibiwa na mjapanSawa mkuu ila pia russia ndo ilikua na jeshi lililomsumbua ujerumani kaangalie vita ya mji wa stalingrad hapo mjerumani ndo alipo chemka kwenye vita ya pili ndo watu wakajua kumbe huyu mjerumani anapigika tu.
Pamoja na hayo NATO wametoa tahadhari kuwa hii vita Mrusi na Mchina waliipanga muda mrefu sana, inatakiwa ipiganwe kimahesabu.
The SAS and US Delta Force are probably in Ukraine already - would not be surprised if it was them who took out the Russian ship, from all accounts it was a sophisticated attack and not just a Ukrainian in the right place with a handy missile.Kuna Highly skilled Mesenaries wamekuwa deployed Ukraine na hao ndio wanamtesa Mrusi
Acha kudanganya watu wewee huu Uzi inabidi ufungiweMeli ya kivita ya urusi Moskva flag ship imegeuzwa kuwa Nyambizi na waukraini.
Hii ni taarifa mbaya sana kwa Warusi na kwa ujumla meli hii ilikuwa ndiyo nembo kuu ya urusi huko black Sea.
Vita ya Ukraini vimeiexpose Urusi na kuwaacha utupu wa mnyama.
Aibu kubwa kwa Putin na kwa Hali inavyoendelea itabidi arudi nyuma zaidi ili ajisalimishe kiusalama maana Mwingereza tayari ameanza kufanya yake.
Wakati wa Vita baridi meli hii ilibeba nyuklia pia na kulingana na tension ya Vita hii ya Ukraine inawezekana all personel na silaha zote zimelamba tope. Urusi inabidi ijitafakari na ielewe kabisa dunia ya Leo haiendeshwi na washamba.
View attachment 2187976
Picha kwa hisani ya mtandao.
View attachment 2188250
#Wahuni siyo watu.
Sijawahi kuwapa heshima nzito UK kama ambavyo naipa sasa, huyu jamaa hafai kwenye medani ya vita.Nato wanalijua na ndio maana wakubwa hawajaingia wanaingia mmoja mmoja kwanza naona UK kaanza ligi
Save hii post yako sababu kuna kila dalili ukaonekana wewe ndiye kilaza huko mbeleni.Kwahyo mafanikio ya Ukraine mpaka sasa ni kuipiga meli moja? Yaani mmesahau wanajeshi 3000 waliotekwa huko mariupol? Kweli duniani vilaza hawaaishi.. ngoja vita iendelee tutaona nani atanyoosha mikono.
Ha ha ha ha ha ha ha haAcha kudanganya watu wewee huu Uzi inabidi ufungiwe
Meli ya Moskva imegeuzwa Nyambizi kwa muda huu Ina special mission chini ya bahari
Kutokana na uzalendo wake uliotukuka
Alisikika Jiwe wa Kizungu a.k.a bwana Putin akiwaambia Warusi wakibongo Buguruni kwa Mnyamani
Ila wewe ulijua haya.... [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]zelensky mwazo hakujua kwann ulaya hawataki kufunga anga Sasa atakua ameelewa ukifunga anga urusi asingesomwa
... Kwa hiyo meli kupigwa sio kweli ni propaganda za nchi za magharibi. Warussia wa Mkuranga shida sana.West Propaganda Machine
Ukraine na Russia zipo vitani na sio kwenye Mashindano ya Olympics
So causalities za namna hio zinategemewa.
Russia wame achieve na wana achieve mengi Ukraine lakini huwezi kusikia habari hizo kwenye West Media, na kwa sababu Media zetu zina copy from West, hata huku huwezi zisikia
Hio habari INA go viral for reason, kuipa Ukraine false sense of Courage
Ni war propaganda
Hata sis tuliwahi kuendesha primitive politics kwa muda wa miaka 6 mfululizo katika kipindi hiki cha ''sisi binadamu Wa Sasa tumetoka level nzuri ya ustaarabu''. Wewe hukuwa mfuasi wa siasa ile ya giza hapa Tanzania? Tuanzie hapo kwanza.Binafsi nilimpenda Putin ila dunia ya sasa haihitaji vita kwa sababu za kijinga kama zake.
Sisi binadamu wa sasa tumefikia level nzuri ya ustaarabu.
Wewe, Mimi nakusalimia shikamoo kwa kulijua ilo MadameMalizia alitawala mpaka marekani [emoji28][emoji28][emoji28]
Usije kuikana tu comment yakoKwahyo mafanikio ya Ukraine mpaka sasa ni kuipiga meli moja? Yaani mmesahau wanajeshi 3000 waliotekwa huko mariupol? Kweli duniani vilaza hawaaishi.. ngoja vita iendelee tutaona nani atanyoosha mikono.
NakaziaSave hii post yako sababu kuna kila dalili ukaonekana wewe ndiye kilaza huko mbeleni.
Watu gani hao?Hapana mkuu kuna watu wako nyuma ya dume mdogo maana russia sio ya mchezo chezo
Mwingereza na mmarekani hawezi kosekana pale ...haiwezekani mrusi akimbiea katoto kake mwenyewe ...Watu gani hao?
Huo ustaarabu uwe ukraine tu. Yemen Ethiopoia Congo South Sudan Mozambique na Boko Haram hakuhitaji ustaarabu. Huko lkote mstaarabu anahusikaBinafsi nilimpenda Putin ila dunia ya sasa haihitaji vita kwa sababu za kijinga kama zake.
Sisi binadamu wa sasa tumefikia level nzuri ya ustaarabu.
Warusi wao kazi yao kupiga mahospital nursery school community propertyWest Propaganda Machine
Ukraine na Russia zipo vitani na sio kwenye Mashindano ya Olympics
So causalities za namna hio zinategemewa.
Russia wame achieve na wana achieve mengi Ukraine lakini huwezi kusikia habari hizo kwenye West Media, na kwa sababu Media zetu zina copy from West, hata huku huwezi zisikia
Hio habari INA go viral for reason, kuipa Ukraine false sense of Courage
Ni war propaganda
Kiduku huwa anatishia tu ila siku akijidanganya hata kwa jirani yake South Korea ndo atajua hajui[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]dadadeki, bado Kiduku, hao wajinga machuma yao waliyaona ni Bora, kumbe hola