If he's no longer interested with life (of which I'm wondering !!!), he should go to the Casket alone and not trying to drag us all along with him (We want to continue enjoying in this world).....Huyu jamaa na kiduku ni🐐 wanamaanishaga na kudhamiria wanachosema.
Nani alikudanganyaHili eneo USA na wanae wa NATO wapo nyuma sana................mrusi anaweza akapigana akiwa nyumbani kwake bila kupeleka ndege ,wanajeshi,au hata manowari kwenye nchi nyingine.......yule boya alipoteza pesa mingi kuweka makambi na manowari kila kona , hizo mbinu atawaweza mataifa utopolo ila akifika kwa wakina Putin hivyo vyote havina kazi
[emoji16][emoji16][emoji16]Hili eneo USA na wanae wa NATO wapo nyuma sana................mrusi anaweza akapigana akiwa nyumbani kwake bila kupeleka ndege ,wanajeshi,au hata manowari kwenye nchi nyingine.......yule boya alipoteza pesa mingi kuweka makambi na manowari kila kona , hizo mbinu atawaweza mataifa utopolo ila akifika kwa wakina Putin hivyo vyote havina kazi
Exactly kabisa kwa Sababu mbabe atakuwa ameshaonekana [emoji16][emoji16]Great reset lazima paeleweke............iwe physically ama mentally...........inaweza isipigwe vita physically ila lazima hata kwenye fikra za watu kuna kitu kitabadilika kuhusu haya mataifa.........hizi ni kama ngumi za kitaa masela wanakaa pembeni wanawacheki mtamalizana vipi nyie wababe wa 2 , baada ya hii ishu mataifa madogo yatajua yaegemee kwa nani ..........................
New update [emoji16][emoji16]Mkuu mie sina maslahi yoyote, ila naona raha tu kuona kuwa duniani wababe wako wengi na hivyo Ulimwengu utakuwa mahala salama pa kuishi (wataogopana)
Yes Mkuu, hilo lipo wazi vita haitapiganwa kwa sababu Ukraine pamoja na msaada wowote atakaopewa hana ubavu wa kumkabili kivita Russia, lazima Ukraine asalimu amri hata kama Russia akiingia mzigoni.
Hata kama mie ndio ningekuwa rais wa Ukraine, ningeamua kuufyata tu mbele ya Putin.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] watu wanadhani Putin na Russia ni BurundiUkraine inamegwa na hakuna wa kufanya kitu
Putin aliahidi atarudisha USSR
Vita hakuna ila jamaa wanatakaa hapo kama kwao tu
Submarines 51 na Ukraine hawana hata moja
Silaha zingine anamzidi mara mia
Yaani hapo Ukraine anakubali kwa shingo upande na NATO wala USA hawatamsaidia kitu
Huyu sio Saddam mjue
Here we ago again [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji123]Yakipita masaa 48 bila response yoyote toka upande wa West especially USA mtazamo wa hii army mobilization ya mrusi ndani ya Ukraine utabadiri mwelekeo wa upanuzi zaidi.
Wewe hujui kitu, vikwazo vinaitesa san Korea na Iran, mpaka leo wanaomba viondolewe.Huyu ukrain angejifunza kwa hawa US na wenzio walichomfanyia rais wa afghanistan haya yote yasingemkuta,wanamdanganya watamsaidia lakini jamaa anaingia hakuna wanachomsaidia,wanabaki kuweka vikwazo ambavyo havina maana yeyote,korea na wairan wamewekewa vikwazo miaka nenda rudi lakini wapo wanachekelea tu
Nani alikwambia ukweliNani alikudanganya
Dooh yaani ukiwa mbabe raha sana.New update [emoji16][emoji16]View attachment 2129163
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] watu wanadhani Putin na Russia ni Burundi
Here we ago again [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji123]View attachment 2129164
Ni suala la muda tu, Raia wa Urusi watahitaji msaada wa dawa na chakula
Unafiki wale ni Tanzania?Ni suala la muda tu, Raia wa Urusi watahitaji msaada wa dawa na chakula
Putin mjinga anafikiri kila mtu kupigana lazima atumie njia hiyo hiyoSitaki kuamini kama USA na yeye hawezi kufanya hivyo mkuu.