Putin ataka Palestina wapewe nchi yao

Putin ataka Palestina wapewe nchi yao

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Makundi mengi zaidi kote ulimwenguni yametokea kuwaunga mkono wananchi wa Palestina ili warudi kwenye makazi yao.Hali hiyo inaonesha kama kwamba mashambulio ya Hamas yameleta athari kubwa katika kuelezea madhila ya taifa lao.

Katika ufuatiliaji wa maoni kwenye mitandao ya kijamii imeonekana pia kuwa idadi kubwa ya wachina wameyaona mashambulizi ya Hamas kwa kushtukiza ndani ya mipaka ya Israel ni aina ya ushujaa wa kundi hilo.
Rubani mmoja wa Air Canada amesimamishwa kuruka kutokana na kuilaani Israel wazi wazi akiwa kazini.

Kati ya wote wanaoonekana kuwaunga mkono Hamas na kuelewa wanachopigania ni raisi Putin wa Urusi ambaye amesema ni wakati sasa kwa Palestina kupatiwa taifa lao. Hayo aliyasema alipokuwa akizungumza na mshirika wake,raisi Erdogan wa Uturuki.

Katika mazungumzo hayo Putin alisema kilichotokea majuzi na kilichoipata Israel ni matokeo ya siasa mbovu za Marekani katika eneo la mashariki ya kati.

 
Termux umeiona hiyo eenh!
 
Screenshot_20231010-234801.png
 
🇵🇸🚀🇮🇱If Israel does not stop its policy of civilian displacement, Hamas will continue to destroy the city of Ashkelon and then move on to other cities - statement

🔴@DDgeopolitics
 
Kwa hiyo ulitegemea kauli gani kutoka Kwa Putin tofauti na hiyo?

Ulitegemea Putin aungane na mataifa ya magharibi kulaani mashambulizi ya hamas.,sio?
Ni muhimu sana kwanza Hamasi yenye serikali yake Ghaza,
na Fataha yenye Serikali yake ukingo wa Magharibi yaani West Bank ktk mji wa Ramala,
wakaondoa tofauti zao za baada ya uchaguzi 2005 na kua kitu kimoja.

Hii itakua hatua nzur na muhimu zaidi ya kuanza kudai uhuru na nchi yenye mamlaka Kamili ya Palestine.

vinginevyo, huna serikali, huna jeshi, mipaka haijulikani, hakuna currency yenu, hukopesheki yaani vuluvu nani atakuskiza akati unaishi kwa misaada tu
 
Dikteta Putin hana maana kabisa na hakuna anachojua na ni mnafiki mkubwa kwani yeye anayoyafanya Ukraine hayaoni.

Aondoe kwanza boriti kwenye jicho lake kabla hajaona kibanzi kwenye jicho la mwingine. Bure kabisa.
 
Putin yuko sahihi 2 states solution ndio njia ya kumaliza haya mauaji, sio kuwafungia wapalestina kama mbuzi, hawawezi kubali kila siku
Maazimio kibao yamejaa UN na kila mmoja anayajua na wanajua Israel hajawahi kuyatekeleza.Wapalestina wasubiri mpaka lini ili maazimio hayo yatekelezwe.
 
Makundi mengi zaidi kote ulimwenguni yametokea kuwaunga mkono wananchi wa Palestina ili warudi kwenye makazi yao.Hali hiyo inaonesha kama kwamba mashambulio ya Hamas yameleta athari kubwa katika kuelezea madhila ya taifa lao.

Katika ufuatiliaji wa maoni kwenye mitandao ya kijamii imeonekana pia kuwa idadi kubwa ya wachina wameyaona mashambulizi ya Hamas kwa kushtukiza ndani ya mipaka ya Israel ni aina ya ushujaa wa kundi hilo.
Rubani mmoja wa Air Canada amesimamishwa kuruka kutokana na kuilaani Israel wazi wazi akiwa kazini.

Kati ya wote wanaoonekana kuwaunga mkono Hamas na kuelewa wanachopigania ni raisi Putin wa Urusi ambaye amesema ni wakati sasa kwa Palestina kupatiwa taifa lao. Hayo aliyasema alipokuwa akizungumza na mshirika wake,raisi Erdogan wa Uturuki.

Katika mazungumzo hayo Putin alisema kilichotokea majuzi na kilichoipata Israel ni matokeo ya siasa mbovu za Marekani katika eneo la mashariki ya kati.


Hujuhi hata kiingereza we binti, alafu unakimbilia kuja kuanzisha thread pumb....fu
 
Aende nae ayatimbe, kwani unadhani Putin ana akili za kikobazi ee. Moto upo pale pale.
 
Kwa hiyo ulitegemea kauli gani kutoka Kwa Putin tofauti na hiyo?

Ulitegemea Putin aungane na mataifa ya magharibi kulaani mashambulizi ya hamas.,sio?
Aoneshe kwa vitendo kauli yake kwa kuondoa majeshi yake ukraine, otherwise hawezi kueleweka.
 
Aoneshe kwa vitendo kauli yake kwa kuondoa majeshi yake ukraine, otherwise hawezi kueleweka.h
huu muda ndio atautumia kummaliza Zelensky aliyekwisha achwa na washirika wake.
 
Israeli ni jeuri, tena kwa kuwa wanajua nyuma yao yupo Jehovah aliyeagana nao kwa agano la milele

Adui zake watapigika vibaya mno
 
Back
Top Bottom