#COVID19 Putin hataki Chanjo ya COVID-19 ila anainadi kwamba iko salama

#COVID19 Putin hataki Chanjo ya COVID-19 ila anainadi kwamba iko salama

wakurochi

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2017
Posts
2,647
Reaction score
2,951
Warusi walitangaza mapema kabisa kwamba wamepata " Vaccine" dhidi ya COVID-19. Na huyu mwamba Putin akasema binti yake moja amepata hiyo chanjo na iko poa. Yeye mwenyewe amekwepa kupata chanjo kwa visingizio kibao.

Sasa Obama, Bush na Clinton wao wamesema watapata chanjo ya covid 19 na ma camera kibao yawepo ili kuwatoa hofu wananchi wao kwamba chanjo iko poa.

Naona hii la akina Obama litampa wakati mgumu Putin maanake amekuwa anawasakizia marais wenzake hiyo chanjo na hasa wanajeshi wake
 
Kwa nini unawalinganisha Obama, Bush,Clinton na Putin?Kwani Obama, Bush na Clinton ni marais wa nchi?
 
Vijana kunyweni beer ni nzuri kwa afya na uchumi wa nchi ila mimi situmii bia kwasababu imeanza kuniletea kitambi.

Putin Viva Putin
 
Hakuna hata nchi moja ya Africa imeweza kugundua chanjo yoyote.

Natafakari hii dunia bila mzungu maisha yangekuaje!!?
 
Hakuna hata nchi moja ya Africa imeweza kugundua chanjo yoyote.

Natafakari hii dunia bila mzungu maisha yangekuaje!!?
Sio kweli. Inaweza ikatokea tukagundua
Mbona jamaa moja west africa huko amegundua solar panel kali sana hata mawingu ya mvua inachaji safi tu bila tatizo
 
Kuna muandishi mmoja nimemsahau jina alisema ..
"chanjo zote wajaribiwe kwanza viongozi wakuu wa kisiasa wasipodhurika hicho kitakuwa kipimo kizuri kwamba chanjo hizo ni salama"
 
Sio kweli. Inaweza ikatokea tukagundua
Mbona jamaa moja west africa huko amegundua solar panel kali sana hata mawingu ya mvua inachaji safi tu bila tatizo
Siku zote Mswahili huwa hakubali kuwa hapa sipawezi, kama alivyo mshirikina. Mpaka apigwe. Lakini hapo inakuwa too late!
 
Kuna muandishi mmoja nimemsahau jina alisema ..
"chanjo zote wajaribiwe kwanza viongozi wakuu wa kisiasa wasipodhurika hicho kitakuwa kipimo kizuri kwamba chanjo hizo ni salama"


Hao viongozi wakuu wakachanje kwa hiyari au kwa lazima???
 
Were una uhakika gani kwamba marais wastaafu wa USA watadungwa chanjo ya COVID-19 na sio PLACEBO?

Kinacho lengwa pale na USA Big Pharma Companies ni kutaka kuhamasisha wananchi kupitia Publicity stunts ya kujifanya kana kwamba Marais wastaafu wamekubali kugungwa chanjo ambayo haija fanyiwa majaribio ya kutosha, kumbe wanataka kuwachota akili RAIA wao.
 
Were una uhakika gani kwamba marais wastaafu wa USA watadungwa chanjo ya COVID-19 na sio PLACEBO?

Kinacho lengwa pale na USA Big Pharma Companies ni kutaka kuhamasisha wananchi kupitia Publicity stunts ya kujifanya kana kwamba Marais wastaafu wamekubali kugungwa chanjo ambayo haija fanyiwa majaribio ya kutosha, kumbe wanataka kuwachota akili RAIA wao.
Nashangaa watu hawajihoji maswali kama haya. Basi tuseme itakuwa halisi kwao ila huku ikaletwa nyingine ambayo ndio ajenda yao kuu. Nani atajua?
 
Hakuna hata nchi moja ya Africa imeweza kugundua chanjo yoyote.

Natafakari hii dunia bila mzungu maisha yangekuaje!!?
Kwasabasu ni akili za mashetani, Na hii vaccine ni mpango wao wa NEW WORLD ORDER wa kutaka dunia nzima kila mtu lazima apigwe chanjo, Utakua huwezi safiri kutoka nchi moja kwenda nyingine pasipo uthibitisho wa Vaccine kwenye Hati yako ya kusafiria
 
Kwasabasu ni akili za mashetani, Na hii vaccine ni mpango wao wa NEW WORLD ORDER wa kutaka dunia nzima kila mtu lazima apigwe chanjo, Utakua huwezi safiri kutoka nchi moja kwenda nyingine pasipo uthibitisho wa Vaccine kwenye Hati yako ya kusafiria
Tanzania panatosha 😄😄
 
Yaani wazee wa miaka 70s huko ndio wawa motivate vijana wa miaka 18s and 20s kwamba chanjo haina madhara ni salama?.Really?..Hawa wazee wameshaishi maisha yao na hata kama chanjo itawaadhiri hakutakuwa na shida maana wako kwenye umri wa mwisho huko,sasa vijana wa miaka 18s and 20s hawawezi kuwa mativated na wazee wa 70s kuhusu usalama wa chanjo.Cha msingi maswali yanayoulizwa kuhusu chanjo yajibiwe with facts na sio kuhamashishana kama kwamba ni kampeni ya utoaji damu,hapo ni life and death.
 
Were una uhakika gani kwamba marais wastaafu wa USA watadungwa chanjo ya COVID-19 na sio PLACEBO?

Kinacho lengwa pale na USA Big Pharma Companies ni kutaka kuhamasisha wananchi kupitia Publicity stunts ya kujifanya kana kwamba Marais wastaafu wamekubali kugungwa chanjo ambayo haija fanyiwa majaribio ya kutosha, kumbe wanataka kuwachota akili RAIA wao.
Tena wazee wa miaka 70s huko ndi watumike kama publicity stunt kuwafanya vijana wa 20s wapewe chanjo?.Yaani hata kama chanjo itawaadhiri hao wazee wa 70s ni sawa tu sababu ndio wanafkia kikomo cha umri wao wa kuishi,sasa vijana wa 20s inakuaje??.Cha msingi hapa sio kutumia wazee ku influence vijana,bali wakae wajibu maswali yanayoulizwa with facts bila kupepesa macho,sio kuletea watu wanasiasa wazee waliojichokea ku influence vijana...
 
Kuna muandishi mmoja nimemsahau jina alisema ..
"chanjo zote wajaribiwe kwanza viongozi wakuu wa kisiasa wasipodhurika hicho kitakuwa kipimo kizuri kwamba chanjo hizo ni salama"
Tatizo hao wanasiasa ni wazee 60s and 70s huko,wameshaishi maisha yao,vipi kuhusu vijana wa 18s and 20s??.
 
Tatizo hao wanasiasa ni wazee 60s and 70s huko,wameshaishi maisha yao,vipi kuhusu vijana wa 18s and 20s??.
Most of the youth are asymptomatic to COVID-19, the disease is not life threatening to them.
But, the lives of the old ones are at stake if they don't get vaccine and contract the disease.

Unafikiri nani hapo anahitaji chanjo?
 
Most of the youth are asymptomatic to COVID-19, the disease is not life threatening to them.
But, the lives of the old ones are at stake if they don't get vaccine and contract the disease.

Unafikiri nani hapo anahitaji chanjo?
Point yangu ni kwamba,wasiwekeze nguvu kwa vijana kupata chanjo maana kama ina serious consequences vijana ndio watakaoumia sana kuliko wazee.Wawekeze nguvu kuhamasisha wazee wapewe iyo chanjo...
 
Point yangu ni kwamba,wasiwekeze nguvu kwa vijana kupata chanjo maana kama ina serious consequences vijana ndio watakaoumia sana kuliko wazee.Wawekeze nguvu kuhamasisha wazee wapewe iyo chanjo...
Tupo pamoja mkuu.
 
Back
Top Bottom