Putin: Kama watatumia cluster bombs na Sisi tutatumia

Putin: Kama watatumia cluster bombs na Sisi tutatumia

Zacht

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2020
Posts
1,026
Reaction score
2,266
Cluster bombs ni Miongoni mwa mabomu yaliyopigwa marufuku na umoja wa mataifa kutumika kutokana na uhatari wake , lakini hivi karibuni marekani ameonyesha nia ya kumpatia Ukraine mabomu hayo na kuyatumia dhidi ya urusi.

Majibu ya Putin juu hilo ni kwamba urusi inayo hazina ya kuzosha ya mabomu hayo na hajayatumia na alikuwa hana mpango kuyatumia katika vita hivyo lakini atafanya hivyo endapo Ukraine akiyatumia dhidi yake kupitia msaada wa marekani.

 

Attachments

  • Demonstration_cluster_bomb.jpg
    Demonstration_cluster_bomb.jpg
    1.3 MB · Views: 4
Jinsi cluster bomb inavyofanya kazi na sababu ya kupigwa ban kutumika vutani
 
Cluster bombs ni Miongoni mwa mabomu yaliyopigwa marufuku na umoja wa mataifa kutumika kutokana na uhatari wake , lakini hivi karibuni marekani ameonyesha nia ya kumpatia Ukraine mabomu hayo na kuyatumia dhidi ya urusi.

Majibu ya Putin juu hilo ni kwamba urusi inayo hazina ya kuzosha ya mabomu hayo na hajayatumia na alikuwa hana mpango kuyatumia katika vita hivyo lakini atafanya hivyo endapo Ukraine akiyatumia dhidi yake kupitia msaada wa marekani.

Mbona Urusi alishayatumia
 
Urusi tayari alishatumia cluster bombs mwanzo mwanzo akachemka
 
Back
Top Bottom