Putin ni cancer Kwa USA na washirika, Brics Yazidi kuchanua Mabawa

Putin ni cancer Kwa USA na washirika, Brics Yazidi kuchanua Mabawa

The Loyalty King

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2024
Posts
1,298
Reaction score
2,124
Wakuu Habari

Nilikuwa huko Twitter (X) na katika kupita pita kwangu nikakutana na hii habari ya Iran kuungana rasmi na umoja wa mataifa yaliyopo katika muungano wa Brics , kubwa zaidi lilo nivutia sio Iran Tu kuwa mwanachama wa Brics kumbe kuna mataifa kibao ambayo na yenyewe yapo katika mchakato wa kujiunga na muungano huo wa wababe wa vita na wasio tishwa na Taifa lolote lile hapa duniani

Kilicho nivutia zaidi ni nguvu ya ushawishi aliyonayo Putin na nchi yake ya Russia imagine imagine licha ya Taifa Hilo kuwekewa vikwazo mbali mbali vya kiuchumi na mataifa mbali mbali ya Akiwemo USA na vibaraka wake , Lakini Hilo halijasaidia kupunguza nguvu ya ushawishi ya Putin na washirika wake kisiasa katika medani za kitaifa badala yake nguvu ya ushawishi Kwa Putin na Taifa lake ambalo no Russia pamoja na muungano wao unao fahamika Kwa Jina la Brics ndio kwanza umezidi kupata nguvu kubwa ya ushawishi na mataifa kibao Yana taka kujiunga na umoja huo

Hii ni ishara kwamba kuna mataifa mengi Sana yamechoshwa na ubabe wa USA na washirika wake na bila Shaka wameona kwamba muarobaini wa Hilo ni kuungana pamoja na wababe wa vita duniani Russia na washirika wake , Na jua wazi kwamba wale wa- America na waisrael wa tandale watanuna lakini ndio hivyo wakati ni ukuta wamesha Chelewa na wakati haupo tena katika upande wao
Wajiandae kuona anguko kubwa ambalo hawakuwahi kulitarajia katika maisha yao anguko ambalo litaikumba USA na washirika wake

Hapo awali wakati BRICS ilipo anzishwa kuna watu waliibeza 😁😁😁😁
Lakini sasa hivi BRICS imekuwa ni mwiba mchungu Kwa mataifa yote ambayo ni hasimu wa BRICS , Hakika anguko rasmi Lina kuja na hakuna rangi ambayo watakavyo Acha kuiona

Mungu ibariki Russia Mungu ibariki Brics Mungu mbariki Putin na washirika wake

Pitia comments katika hizo picha uone maoni ya watu na jinsi umwatu wanavyo furahia👇👇👇

Hizi details nimezitoa katika official page ya BRICS kule X

Screenshot_2024-10-23-19-14-18-296_com.twitter.android.jpg
Screenshot_2024-10-23-19-14-55-860_com.twitter.android.jpg

Screenshot_2024-10-23-19-15-12-906_com.twitter.android.jpg
Screenshot_2024-10-23-19-15-19-671_com.twitter.android.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_2024-10-23-19-17-24-873_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-10-23-19-17-24-873_com.twitter.android.jpg
    191 KB · Views: 3
  • Screenshot_2024-10-23-19-17-32-670_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-10-23-19-17-32-670_com.twitter.android.jpg
    222.5 KB · Views: 4
  • Screenshot_2024-10-23-19-17-37-906_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-10-23-19-17-37-906_com.twitter.android.jpg
    226.4 KB · Views: 4
  • Screenshot_2024-10-23-19-17-49-993_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-10-23-19-17-49-993_com.twitter.android.jpg
    176.7 KB · Views: 8
  • Screenshot_2024-10-23-19-24-44-213_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-10-23-19-24-44-213_com.twitter.android.jpg
    212.5 KB · Views: 5
  • Screenshot_2024-10-23-19-24-53-486_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-10-23-19-24-53-486_com.twitter.android.jpg
    220.8 KB · Views: 4
  • Screenshot_2024-10-23-19-25-00-949_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-10-23-19-25-00-949_com.twitter.android.jpg
    208.5 KB · Views: 6
  • Screenshot_2024-10-23-19-25-07-775_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-10-23-19-25-07-775_com.twitter.android.jpg
    192.1 KB · Views: 4
  • Screenshot_2024-10-23-19-25-14-641_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-10-23-19-25-14-641_com.twitter.android.jpg
    239.7 KB · Views: 5
  • Screenshot_2024-10-23-19-25-23-642_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-10-23-19-25-23-642_com.twitter.android.jpg
    167.8 KB · Views: 4
  • Screenshot_2024-10-23-19-25-33-516_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-10-23-19-25-33-516_com.twitter.android.jpg
    215.3 KB · Views: 3
  • Screenshot_2024-10-23-19-25-48-073_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-10-23-19-25-48-073_com.twitter.android.jpg
    203.4 KB · Views: 5
  • Screenshot_2024-10-23-19-26-07-693_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-10-23-19-26-07-693_com.twitter.android.jpg
    258.5 KB · Views: 3
  • Screenshot_2024-10-23-19-17-09-972_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-10-23-19-17-09-972_com.twitter.android.jpg
    199.7 KB · Views: 2
  • Screenshot_2024-10-23-19-17-05-256_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-10-23-19-17-05-256_com.twitter.android.jpg
    196.5 KB · Views: 3
  • Screenshot_2024-10-23-19-16-59-517_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-10-23-19-16-59-517_com.twitter.android.jpg
    238.4 KB · Views: 2
  • Screenshot_2024-10-23-19-15-03-204_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-10-23-19-15-03-204_com.twitter.android.jpg
    221 KB · Views: 3
  • Screenshot_2024-10-23-19-15-25-123_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-10-23-19-15-25-123_com.twitter.android.jpg
    196 KB · Views: 4
  • Screenshot_2024-10-23-19-15-31-241_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-10-23-19-15-31-241_com.twitter.android.jpg
    189.5 KB · Views: 2
  • Screenshot_2024-10-23-19-15-49-448_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-10-23-19-15-49-448_com.twitter.android.jpg
    184.3 KB · Views: 3
  • Screenshot_2024-10-23-19-16-06-590_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-10-23-19-16-06-590_com.twitter.android.jpg
    153.1 KB · Views: 2
  • Screenshot_2024-10-23-19-16-51-986_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-10-23-19-16-51-986_com.twitter.android.jpg
    221.4 KB · Views: 3
  • Screenshot_2024-10-23-19-16-35-360_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-10-23-19-16-35-360_com.twitter.android.jpg
    215.9 KB · Views: 2
  • Screenshot_2024-10-23-19-16-29-039_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-10-23-19-16-29-039_com.twitter.android.jpg
    243.7 KB · Views: 3
  • Screenshot_2024-10-23-19-16-21-702_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-10-23-19-16-21-702_com.twitter.android.jpg
    211.2 KB · Views: 3
  • Screenshot_2024-10-23-19-16-14-206_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2024-10-23-19-16-14-206_com.twitter.android.jpg
    161.7 KB · Views: 2
Porojo tu inakusumbua; nini maana ya BRICS? Bila kuondoa muunganiko wa hizo herufi
Brazil
Russia
India
China
South Africa.
Wanachama wengine wanaojiunga sasa watakuwa wananyonywa tu na nchi ambazo majina yao yanaunda neno BRICS.
Kumbuka hakuna sehemu BRICS inazuia nchi zingine kujiunga na BRICS ata USA anaruhusiwa kujiunga na BRICS hivyo usishangae nchi kama Egypt na India marafiki wakubwa wa USA wapo BRICS.
 
Porojo tu inakusumbua; nini maana ya BRICS? Bila kuondoa muunganiko wa hizo herufi
Brazil
Russia
India
China
South Africa.
Wanachama wengine wanaojiunga sasa watakuwa wananyonywa tu na nchi ambazo majina yao yanaunda neno BRICS.
Kumbuka hakuna sehemu BRICS inazuia nchi zingine kujiunga na BRICS ata USA anaruhusiwa kujiunga na BRICS hivyo usishangae nchi kama Egypt na India marafiki wakubwa wa USA wapo BRICS.
Inaitwa BRICS plus.
 
Yaani utegemee nchi kama UAE, south Africa, Iran saudia ziitishe G7, hicho kikoba hamna kitu hapo Kwanza kuna mataifa humo ndani yake yana migogoro ya ardhi, G7 Bado ipo ipo sanaa
Kaa humo Myahudi watandale wee 🤣🤣🤣
 

Attachments

  • downloadfile-5.jpg
    downloadfile-5.jpg
    153.1 KB · Views: 3
  • downloadfile-6.jpg
    downloadfile-6.jpg
    161.7 KB · Views: 2
Porojo tu inakusumbua; nini maana ya BRICS? Bila kuondoa muunganiko wa hizo herufi
Brazil
Russia
India
China
South Africa.
Wanachama wengine wanaojiunga sasa watakuwa wananyonywa tu na nchi ambazo majina yao yanaunda neno BRICS.
Kumbuka hakuna sehemu BRICS inazuia nchi zingine kujiunga na BRICS ata USA anaruhusiwa kujiunga na BRICS hivyo usishangae nchi kama Egypt na India marafiki wakubwa wa USA wapo BRICS.
BRICS now days imekuwa ni lidude likubwa mnooo mpaka hizo nchi zote zipo inspired na kujiunga na huo muungano kama hautaki kameze dafu 🤣
 

Attachments

  • downloadfile-5.jpg
    downloadfile-5.jpg
    153.1 KB · Views: 3
  • downloadfile-6.jpg
    downloadfile-6.jpg
    161.7 KB · Views: 4
Hivi Ethiopia alifikije huko je ni taifa kubwa?
kuna sababu kama tatu hivi (ambazo hazisemwi)

1. Ethiopia ni HQ ya AU
2. Ethiopia haijawahi kutawaliwa
3. Ethiopia ni eneo strategic kona hii ya mashariki na kaskazini mwa Afrika,

kumbuka, BRICS+ inajitanabaisha kama mtetezi wa 'global South', nchi zote hapo bar Russia zipo 'kusini' mwa ulaya/Amerika,
pia nchi nyingi hapo in some ways zimekua zikinyanyaswa na magharibi........

........addition ya Sauzi, Ethiopia na Egypt ni symbolic, kiuhalisia hazina mchango mkubwa kiuchumi ndani ya hio group, ukifananisha na nchi kama Iran (ambayo yenyewe ni muhimu MNOOOOOO unapotaka kubalance nguvu za dunia)
 
Ukiondoa Urusi - ni masjini kwa maskini wanapoamua kuungana.
 
Ukiondoa Urusi - ni masjini kwa maskini wanapoamua kuungana.
BRICS nzima economic power house wao ni CHINA.
Hiyo Russia yenyewe ina survive hadi sasa katika vita kwa msaada wa kiuchumi na kifedha toka CHINA.
China ikitoka BRICS basi kiuchumi hiyo jumuiya inatetereka.
 
Back
Top Bottom