Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
La kuua wapinzani wake, yes hata mimi naweza kumuweka kwenye kundi la waovu BUT kuhusu hizi nchi ulizo zitaja including kinacho endelea Ukraine sasa hivi HAPANA, let the Dude continue doing what he is doing though there is loss of souls. Hizo vita vimesababishwa na mataifa ya magharibi.Putin ni mtu muovu sana, kuanzia Chechnya, Crimea na hadi kuua wapinzani wake.
Kwamba na wewe upo huko maji matitu umechoka na vita unayopigana wapi mkuu?Ubaya ubwela.. mtu mzima nguo ikikuvuka unatakiwa uchutame.... Putin kuwin this war itachukua miaka mingi sana.. hata nuclear haitasaidia.. and amechoka na vita pia sisi tumechoka na vita
Sio wote tulikua ma mbumbumbu kama ww .ila afazal umeshtuka kuna vilaza wengine bado wanaishi kwa propaganda
Magharibi wanataka vita iendelee kumdhohifisha. Naye amegundua. Hataki. Putin hataki vita any more. VinemchoshaLa kuua wapinzani wake, yes hata mimi naweza kumuweka kwenye kundi la waovu BUT kuhusu hizi nchi ulizo zitaja including kinacho endelea Ukraine sasa hivi HAPANA, let the Dude continue doing what he is doing though there is loss of souls. Hizo vita vimedababishwa na mataifa ya magharibi.
Kuhusu kuua wapinzani, sijui ni laana au tabia za nchi za kikominist? Russia, China, Cuba, North Korea na ile nchi ilipo Africa mashariki; same thing yaani.
Ubaya ubwela.. mtu mzima nguo ikikuvuka unatakiwa uchutame.... Putin kuwin this war itachukua miaka mingi sana.. hata nuclear haitasaidia.. and amechoka na vita pia sisi tumechoka na vita
mtu kavamia Ukraine , Poland , Georgia , Moldova na Finland , halaf unasubir uambiw ni mbaya au ni mzur wkt matendo yanaonekana , au haupo timamu ?
Wewe ndiye uliaminishwa hivyo, usituweke na sisi.
Kwamba vita vimemdhohofisha Putin? Don't think so. Nenda kaangalie statistics za uchumi wake na value ya currency yake, vyote vimepanda baada ya kuwekewa vikwazo vya kiuchumi, vita vimemtajirisha zaidi. Remember walio predict kwamba Russia asingechukua zaidi ya wiki kuimaliza Ukraine was not KGB or Russian government, it was CIA but why vita imechukua muda mrefu? The guy (Putin ) knows what he was doing. Kapiga pesa nyingi kwenye Ngano, mafuta, Gas nk. Hope kauza pia sana silaha plus technology kwa nchi za Kiarabu; kafaniliwa kusambaratisha uhusiano mzuri wa mataifa ya EUROPEAN union, again hata umoja wa G7 ni kama nao ume shake, Japan na Italy wameendelea kufanya biashara na Russia though USA aliweka vikwazo. Vita ni biashara brother, kwa nchi kama zetu hizi, vita is a loss but not kwa mataifa makubwa. Mtazame hata Rwanda, anapigana na Zaire/Congo for years but instead of shaking, ndio kwanza currency yao ina thamani kubwa kutuzidi na uchumi wake una paaMagharibi wanataka vita iendelee kumdhohifisha. Naye amegundua. Hataki. Putin hataki vita any more. Vinemchosha
Putin hataki vita vinamdhoofisha. Nato wanataka viendelee kumdhohofisha na kumchosha. Huwezi elewaKwamba vita vimemdhohofisha Putin? Don't think so. Nenda kaangalie statistics za uchumi wake na value ya currency yake, vyote vimepanda baada ya kuwekewa vikwazo vya kiuchumi, vita vimemtajirisha zaidi. Remember walio predict kwamba Russia asingechukua zaidi ya wiki kuimaliza Ukraine was not KGB or Russian government, it was CIA but why vita imechukua muda mrefu? The guy (Putin ) knows what he was doing. Kapiga pesa nyingi kwenye Ngano, mafuta, Gas nk. Hope kauza pia sana silaha plus technology kwa nchi za Kiarabu; kafaniliwa kusambaratisha uhusiano mzuri wa mataifa ya EUROPEAN union, again hata umoja wa G7 ni kama nao ume shake, Japan na Italy wameendelea kufanya biashara na Russia though USA aliweka vikwazo. Vita ni biashara brother, kwa nchi kama zetu hizi, vita is a loss but not kwa mataifa makubwa. Mtazame hata Rwanda, anapigana na Zaire/Congo for years but instead of shaking, ndio kwanza currency yao ina thamani kubwa kutuzidi na uchumi wake una paa
YesRussia anatakiwa kuhakikisha anaichukua Ukraine yote ili kuirejesha ardhi hiyo kama ilivyokuwa enzi za USSR kabla ya kuvurugwa na EU na hatimaye kujitenga.
NATO wamevamia serbia, yugoslavia, libya, iraq, Afghanistan, libya, syria, saizi wanamchokoza Iran, china kupitia taiwani alafu unaona ni watu wazuri?mtu kavamia Ukraine , Poland , Georgia , Moldova na Finland , halaf unasubir uambiw ni mbaya au ni mzur wkt matendo yanaonekana , au haupo timamu ?
Tukubaliane KUTO kukubaliana; tuendelee mbele na mjadaraPutin hataki vita vinamdhoofisha. Nato wanataka viendelee kumdhohofisha na kumchosha. Huwezi elewa