PUTIN: Urusi iko tayari kuisambazia Marekani tani mil 2.5 za Aluminium

PUTIN: Urusi iko tayari kuisambazia Marekani tani mil 2.5 za Aluminium

DeepPond

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2017
Posts
41,728
Reaction score
103,997
Baada ya vikwazo vya kiuchumi dhidi ya urusi Kwa vita ya Ukraine,

Marekani ilisusa kabisa kununua aluminium ya urusi na kuishawishi ulaya nzima nao wasusue kabisa kununua aluminium ya URUSI.

Lengo ni serikali ya urusi ikose fedha ya kugharamia vita inayoendelea kule Ukraine, na yeyote atakaenunua aluminium yake, Basi atahesabika Ni mfadhili WA urusi kwny vita ya ukraine.

Serikali ya urusi ikalazimika kuhamishia soko lake la aluminium India, Brazil na kwingineko.

Vikwazo hivyo vya kiuchumi vilileta mgogoro mkubwa sn WA kiuchumi (hasa sekta ya viwanda) nchini marekani na ulaya kiujumla.

Ambapo Ulaya walilazimika kununua aluminium ya India, Ambae India alikua akiwauzia ulaya Kwa Mara 3 ya Bei ili kufidia Ela yake maana yeye mwenyewe anainunua Russia.

Marekani yeye alijikuta analazimika kuinunua Aluminium ya china, ambapo china nae alimpandishia Bei Kwa 120% baada ya USA kuamua kuifungia Ticktock isifanye Kazi nchini marekani.

Jambo Hilo liliyumbisha sn uchumi WA marekani kiviwanda huku uchumi WA ulaya ukizidi kudhoofika Mara dufu maana uwezo WA India kutosheleza soko la ulaya Bado ulionekana kusua sua sn.

Sasa Baada ya makubaliano ya USA na Ukraine kuhusu mkataba WA marekani kuchukua madini na mafuta ya Ukraine kufidia gharama za vita.

Na Pamoja na raisi Trump kuielekeza benki kuu kuachilia fedha za matajiri WA urusi zilizokua kwny mabenki yote ya kimarekani.

Raisi putin nae amesema serikali yake Sasa iko tayari kuisambazia marekani tani milioni 2.5 za aluminium ili kupunguza makali ya Bei ya aluminium Kwa soko la marekani.

Habari hii imepokelewa Kwa furaha na wamarekani maana imeleta nafuu Sana Kwa viwanda vya marekani na kuchochea uzalishaji WA bidhaa za aluminium ili ziweze kushindana sokoni na bidhaa Toka china, ulaya na kwingineko.


Alamsiki🙏
 

Attachments

  • Screenshot_20250226-123128.png
    Screenshot_20250226-123128.png
    428.4 KB · Views: 1
Baada ya vikwazo vya kiuchumi dhidi ya urusi Kwa vita ya Ukraine,

Marekani ilisusa kabisa kununua aluminium ya urusi na kuishawishi ulaya nzima nao wasusue kabisa kununua aluminium ya URUSI.

Lengo ni serikali ya urusi ikose fedha ya kugharamia vita inayoendelea kule Ukraine, na yeyote atakaenunua aluminium yake, Basi atahesabika Ni mfadhili WA urusi kwny vita ya ukraine.

Serikali ya urusi ikalazimika kuhamishia soko lake la aluminium India, Brazil na kwingineko.

Vikwazo hivyo vya kiuchumi vilileta mgogoro mkubwa sn WA kiuchumi (hasa sekta ya viwanda) nchini marekani na ulaya kiujumla.

Ambapo Ulaya walilazimika kununua aluminium ya India, Ambae India alikua akiwauzia ulaya Kwa Mara 3 ya Bei ili kufidia Ela yake maana yeye mwenyewe anainunua Russia.

Marekani yeye alijikuta analazimika kuinunua Aluminium ya china, ambapo china nae alimpandishia Bei Kwa 120% baada ya USA kuamua kuifungia Ticktock isifanye Kazi nchini marekani.

Jambo Hilo liliyumbisha sn uchumi WA marekani kiviwanda huku uchumi WA ulaya ukizidi kudhoofika Mara dufu maana uwezo WA India kutosheleza soko la ulaya Bado ulionekana kusua sua sn.

Sasa Baada ya makubaliano ya USA na Ukraine kuhusu mkataba WA marekani kuchukua madini na mafuta ya Ukraine kufidia gharama za vita.

Na Pamoja na raisi Trump kuielekeza benki kuu kuachilia fedha za matajiri WA urusi zilizokua kwny mabenki yote ya kimarekani.

Raisi putin nae amesema serikali yake Sasa iko tayari kuisambazia marekani tani milioni 2.5 za aluminium ili kupunguza makali ya Bei ya aluminium Kwa soko la marekani.

Habari hii imepokelewa Kwa furaha na wamarekani maana imeleta nafuu Sana Kwa viwanda vya marekani na kuchochea uzalishaji WA bidhaa za aluminium ili ziweze kushindana sokoni na bidhaa Toka china, ulaya na kwingineko.


Alamsiki🙏
Trump na Putin ni maswahiba
 
USA muhuni na mjanja sana kawaingiza chaka EU kwa kudhoofisha uchumi wao wa viwanda sasa wako hoi..pia ukraine nae kaingizwa cha kike kwa kuchochewa vita na urussi kwa kupewa fedha na silaha toka marekani..kumbe ulikuwa mtego wa usa ili aje kupata madini na mafuta ya ukraine na tayari kashapata..na sasa tunamsikia Tsheked anaomba kujipendekeza kwa kuingia mikataba na US ya kummilikisha madini adimu yaliyopo kongo huku lengo lake likiwa ni kupatata ulinzi na kulinda urais wake ulio hatarini wakati ana miaka michache anastaafu wakati mikataba ya madini yanachimbwa miaka 100..kweli afrika ni laana viongozi wanajiangalia wao tu na sio nchi na vizazi vijavyo.
 
Naona ugomvi wa rasilimari umerudi tena duniani.

Japan walienda Singapore, Malysia,Burma mpaka Indonesia halafu wakaitamani Australia hii ilisababishwa na USA kumuwekea Japan vikwazo na kusababishwa big struggle kwenye upatikanaji wa rubber Japan.
 
Urusi kashindikana kabisa, kumbe aliwabana kende mabeberu wa ulaya wakawa wanaugulia maumivu tu, gesi, aluminum, ngano n.k

Msiwe mnaamini kila kinacholetwa hapa JF.

Hii habari kwa kiasi kikubwa ni ya uwongo.

Aluminium inapatikana kutoka kwenye madini ya bauxite. Na Urusi ni mzalishaji wa 8 wa bauxite Duniani. Sasa Marekani na Ulaya uchumi wao uyumbe vipi wakati wana options nyingi za kusource aluminium? Common sense haikubali, labda kwa wajinga.

Takwimu zinaonesha kuwa USA huingiza kiasi kikubwa cha aluminium toka Canada, siyo Urusi.

Major Global bahxite producers:

1. Australia
2. China
3. Guinea
4. Brazil
5. India
6. Indonesia
7. Jamaica
8. Russia
9. Kazkhstan
10. Saudi Arabia
11. Malaysia

US Aluminum Import by Country: Top 10 USA Aluminum Import Partners:
  • Canada: $11.47 billion (40.68%) ...
  • China: $3.07 billion (10.85%) ...
  • Mexico: $1.84 billion (6.53%) ...
  • United Arab Emirates: $1.28 billion (4.50%) ...
  • South Korea: $981.84 million (3.45%) ...
  • India: $820.54 million (2.90%) ...
  • Bahrain: $726.23 million (2.55
 
Heko heko heko. viva viva viva. Vladimir putin ama kweli wewe ni kachero mbobezi. pia bila wewe marekani ingeitesa sana hii dunia yetu kwani naona mataifa ya ulaya magharibi na nato naona marekani anawaona kama vikaragosi tu.
 
It all depends on who's on the throne!

Vita ya kisiasa inapigwa na wanasiasa, sisi tunaweza hata tusielewe...
 
Baada ya vikwazo vya kiuchumi dhidi ya urusi Kwa vita ya Ukraine,

Marekani ilisusa kabisa kununua aluminium ya urusi na kuishawishi ulaya nzima nao wasusue kabisa kununua aluminium ya URUSI.

Lengo ni serikali ya urusi ikose fedha ya kugharamia vita inayoendelea kule Ukraine, na yeyote atakaenunua aluminium yake, Basi atahesabika Ni mfadhili WA urusi kwny vita ya ukraine.

Serikali ya urusi ikalazimika kuhamishia soko lake la aluminium India, Brazil na kwingineko.

Vikwazo hivyo vya kiuchumi vilileta mgogoro mkubwa sn WA kiuchumi (hasa sekta ya viwanda) nchini marekani na ulaya kiujumla.

Ambapo Ulaya walilazimika kununua aluminium ya India, Ambae India alikua akiwauzia ulaya Kwa Mara 3 ya Bei ili kufidia Ela yake maana yeye mwenyewe anainunua Russia.

Marekani yeye alijikuta analazimika kuinunua Aluminium ya china, ambapo china nae alimpandishia Bei Kwa 120% baada ya USA kuamua kuifungia Ticktock isifanye Kazi nchini marekani.

Jambo Hilo liliyumbisha sn uchumi WA marekani kiviwanda huku uchumi WA ulaya ukizidi kudhoofika Mara dufu maana uwezo WA India kutosheleza soko la ulaya Bado ulionekana kusua sua sn.

Sasa Baada ya makubaliano ya USA na Ukraine kuhusu mkataba WA marekani kuchukua madini na mafuta ya Ukraine kufidia gharama za vita.

Na Pamoja na raisi Trump kuielekeza benki kuu kuachilia fedha za matajiri WA urusi zilizokua kwny mabenki yote ya kimarekani.

Raisi putin nae amesema serikali yake Sasa iko tayari kuisambazia marekani tani milioni 2.5 za aluminium ili kupunguza makali ya Bei ya aluminium Kwa soko la marekani.

Habari hii imepokelewa Kwa furaha na wamarekani maana imeleta nafuu Sana Kwa viwanda vya marekani na kuchochea uzalishaji WA bidhaa za aluminium ili ziweze kushindana sokoni na bidhaa Toka china, ulaya na kwingineko.


Alamsiki🙏
Itanunukiwa kwa ruble na sio dollar .. amna fala tena wa kuingarisha dolloar ya marekani ije kuwaumiza
 
Hapa duniani kuna wapuuzi wachache sana ambao wanaipelekesha dunia wanavyotaka wao. Na hao watu ukute hawazidi hata mia. Wakitaka amani dunia inakuwa na amani wakitaka vita panakuwa ni vita

Kama duniani kungekuwa na fairness basi kwa hakika maisha ya watu wengi yangekuwa mazuri, na dunia ingekuwa na amani sana
 
Back
Top Bottom