Putini aruhusu wafungwa wa zamani kujumishwa jeshini

Putini aruhusu wafungwa wa zamani kujumishwa jeshini

5525

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
5,412
Reaction score
6,279
c4c9add9-2fcd-4aea-bd80-f38e6f7b4556 (1).jpg




Wauaji waliopatikana na hatia na wauzaji dawa za kulevya ambao wametoka gerezani hivi majuzi nchini Urusi wanakabiliwa na kuandikishwa kupigana nchini Ukraine chini ya mabadiliko ya sheria.

Rais Vladimir Putin aliifanyia marekebisho sheria ya kuwaita askari wa akiba na kuwajumuisha wanaume waliopatikana na hatia ya uhalifu mkubwa ambao walitoka gerezani hivi majuzi.

Wafungwa wa zamani waliopatikana na hatia ya uhalifu wa ngono dhidi ya watoto au ugaidi bado hawajajumuishwa katika mpango huo.
 
Kwanini upoteze rasilimali za maana mapema acha mashoga wakapigane na mateja maana wote kundi 1 ....haki za binadamu
 
View attachment 2407587



Wauaji waliopatikana na hatia na wauzaji dawa za kulevya ambao wametoka gerezani hivi majuzi nchini Urusi wanakabiliwa na kuandikishwa kupigana nchini Ukraine chini ya mabadiliko ya sheria.

Rais Vladimir Putin aliifanyia marekebisho sheria ya kuwaita askari wa akiba na kuwajumuisha wanaume waliopatikana na hatia ya uhalifu mkubwa ambao walitoka gerezani hivi majuzi.

Wafungwa wa zamani waliopatikana na hatia ya uhalifu wa ngono dhidi ya watoto au ugaidi bado hawajajumuishwa katika mpango huo.
BBC hii…..

Sijaona ajabu, Kwani wafungwa siyo Raia?..

Mataifa mangapi yamesamehe wafungwa???
 
Recruitment ya Supa-pawa imegeukia mpaka wahalifu....kweli maji yamezidi unga.
T14 Armata Nyamizi 1954 lee van cliff TUJITEGEMEE dudus
Sasa kama elite troops na special forces kama VDV wanapigwa unadhani kuna matumaini ya vikosi gani. VDV walipigwa Hostomel mwanzoni mwa vita na positions zao pale Kherson wanajiandaa na retreat kwenda Mashariki ya mto. Hakuna kisingizio cha sijui hatujaleta wanajeshi wazoefu, makamanda waliohusika Syria ndio hao washasimamia operation na wengine washabadilishwa. All is the same hata wawe Rosgvardiya, VDV, Wagner au hawa wahuni
 
Back
Top Bottom