Ndg naomba nikwambie ukweli kuhusu PVA ni ile ya kuchemsha, kifupi ile PVA ikishachemshwa ndo gundi hizi zakugundishia karatasi. Kifupi hii biashara imeanzia mwanza na muagizaji mkubwa namjua, lakini kazi matokeo ya miaka 5 iliyopita simazuri.Wakuuu mmeshawasikia kuhusu udhibiti wa magadiiii kwa kutumia PVA mwanye maelezooo anipe namna ilivyoooo[emoji121][emoji121][emoji121]
Wataalamu wanasema badda ya kupiga rangi, ikipigwa jua kwa muda hizo sehemu ulizoskim zinapasuka pasuka. Hii technolojia ililetwa na wachina wanaojenga maorofaNdg naomba nikwambie ukweli kuhusu PVA ni ile ya kuchemsha, kifupi ile PVA ikishachemshwa ndo gundi hizi zakugundishia karatasi. Kifupi hii biashara imeanzia mwanza na muagizaji mkubwa namjua, lakini kazi matokeo ya miaka 5 iliyopita simazuri.