Pva ngundiii motor......

devinho7

Member
Joined
Apr 28, 2017
Posts
27
Reaction score
17
Wakuuu mmeshawasikia kuhusu udhibiti wa magadiiii kwa kutumia PVA mwanye maelezooo anipe namna ilivyoooo[emoji121][emoji121][emoji121]
 
Mzee una gundu hadi uogee magadii??
Tumia maji ya bahari
 
Wakuuu mmeshawasikia kuhusu udhibiti wa magadiiii kwa kutumia PVA mwanye maelezooo anipe namna ilivyoooo[emoji121][emoji121][emoji121]
Ndg naomba nikwambie ukweli kuhusu PVA ni ile ya kuchemsha, kifupi ile PVA ikishachemshwa ndo gundi hizi zakugundishia karatasi. Kifupi hii biashara imeanzia mwanza na muagizaji mkubwa namjua, lakini kazi matokeo ya miaka 5 iliyopita simazuri.
 
Ndg naomba nikwambie ukweli kuhusu PVA ni ile ya kuchemsha, kifupi ile PVA ikishachemshwa ndo gundi hizi zakugundishia karatasi. Kifupi hii biashara imeanzia mwanza na muagizaji mkubwa namjua, lakini kazi matokeo ya miaka 5 iliyopita simazuri.
Wataalamu wanasema badda ya kupiga rangi, ikipigwa jua kwa muda hizo sehemu ulizoskim zinapasuka pasuka. Hii technolojia ililetwa na wachina wanaojenga maorofa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…