Nilikua nakunywa bia kwa baa.Nikamwona msichana mrembo nikamnunulia kinywaji mvinyo.
Nilikua nimeongea na mhudumu aniangalilia kinywaji nilienda msalani. Niliporudi niliuliza mhudumu bila huyo msichana kujua akaniambia ya kwamba mwanadada aliweka tembe kwa kinywaji .Nilinunua kinywaji kingine.
Baada ya kunywa nikaamua kwenda matembezi na mwanadada tulienda kwa gari langu tukaanza mwendo .Katitikati ya safari nilizima gari ghafla nikajifanya imeharibika .
Nikammuliza mwanadada aondoke nje asukume , alikubali .Aliposokuma gari kidogo .Niliwasha gari na kutoweka .Katika mkoba wake nilipata tembe mia za kufanya watu walale .Nilifanya makosa kweli
Nilikua nimeongea na mhudumu aniangalilia kinywaji nilienda msalani. Niliporudi niliuliza mhudumu bila huyo msichana kujua akaniambia ya kwamba mwanadada aliweka tembe kwa kinywaji .Nilinunua kinywaji kingine.
Baada ya kunywa nikaamua kwenda matembezi na mwanadada tulienda kwa gari langu tukaanza mwendo .Katitikati ya safari nilizima gari ghafla nikajifanya imeharibika .
Nikammuliza mwanadada aondoke nje asukume , alikubali .Aliposokuma gari kidogo .Niliwasha gari na kutoweka .Katika mkoba wake nilipata tembe mia za kufanya watu walale .Nilifanya makosa kweli