Cute Wife JF-Expert Member Joined Nov 17, 2023 Posts 1,906 Reaction score 5,000 Nov 27, 2024 #1 Wakuu, Drama zinaendelea mpaka siku ya uchaguzi! Pia soma: LIVE - LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 Mkuu wa Wilaya ya Kibaha na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Kunnenge wakiwa kwenye foleni ya kwenda kupiga kura Ichaguzi wa Mkoani A.
Wakuu, Drama zinaendelea mpaka siku ya uchaguzi! Pia soma: LIVE - LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 Mkuu wa Wilaya ya Kibaha na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Kunnenge wakiwa kwenye foleni ya kwenda kupiga kura Ichaguzi wa Mkoani A.
MgosiMnubi JF-Expert Member Joined Dec 6, 2022 Posts 890 Reaction score 1,487 Nov 27, 2024 #2 Hongera kwao kwakutimiza haki yao ya kikatiba.
Messenger RNA JF-Expert Member Joined Jul 24, 2022 Posts 1,411 Reaction score 3,712 Nov 27, 2024 #3 Safi sana
residentura JF-Expert Member Joined Mar 1, 2017 Posts 8,146 Reaction score 11,434 Nov 27, 2024 #4 Cute Wife said: Wakuu, Drama zinaendelea mpaka siku ya uchaguzi! Pia soma: LIVE - LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 View attachment 3162853 Mkuu wa Wilaya ya Kibaha na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Kunnenge wakiwa kwenye foleni ya kwenda kupiga kura Ichaguzi wa Mkoani A. Click to expand... Wanaishi mtaa mmoja!!?
Cute Wife said: Wakuu, Drama zinaendelea mpaka siku ya uchaguzi! Pia soma: LIVE - LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 View attachment 3162853 Mkuu wa Wilaya ya Kibaha na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Kunnenge wakiwa kwenye foleni ya kwenda kupiga kura Ichaguzi wa Mkoani A. Click to expand... Wanaishi mtaa mmoja!!?
Cannabis JF-Expert Member Joined Jan 20, 2014 Posts 11,557 Reaction score 33,535 Nov 27, 2024 #5 Hivi Kunenge bado ni mlezi wa Konde Gang ?
Messenger RNA JF-Expert Member Joined Jul 24, 2022 Posts 1,411 Reaction score 3,712 Nov 27, 2024 #6 Safi sana
mjingamimi JF-Expert Member Joined Aug 3, 2015 Posts 42,209 Reaction score 51,004 Nov 27, 2024 #7 Usije ukashangaa wanakwenda kuwapigia chadema. alafu huo utaratibu wa kupanga mstari wanaume na WA awake sio sawa. mistari iwe miwili wanawake na wanaume iwe tofauti.umbwa nyie
Usije ukashangaa wanakwenda kuwapigia chadema. alafu huo utaratibu wa kupanga mstari wanaume na WA awake sio sawa. mistari iwe miwili wanawake na wanaume iwe tofauti.umbwa nyie