Pre GE2025 Pwani: Jafo achangiwa fomu ya ubunge na wajumbe Kisarawe

Pre GE2025 Pwani: Jafo achangiwa fomu ya ubunge na wajumbe Kisarawe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Wajumbe wamefurahi bana, wajumbe watakuwa wamekunwa kweli kweli mpaka wametema😂😂, yetu macho. Ila wajumbe hawajawahi kuwa watu wazuri😂😂, wanakuchekea mwishoni hutaamini macho yako.

=====


Wajumbe wa Mkutano mkuu kutoka kata za Kazimzumbwi na Kiluvya Kisarawe Pwani wameazimia kwa kauli moja kumchangia fedha kwaajili ya kumchukulia fomu Mbunge wao Mhe Dkt Selemani Jafo kwaajili ya kugombea nafasi ya Ubunge katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwaka 2025.

Kwa vimbwanga na vituko vingine kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ruka hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Azimio hilo limetolewa na wajumbe kutoka kata hizo katika mkutano wa uwasilishaji wa taarifa ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya chama cha mapinduzi CC kutokana na kazi kubwa inayofanywa na mbunge wao Mhe Jafo hivyo wameona ipo sababu ya kumuunga mkono kwa kumchangia fedha zitakazomuwezesha kuchukua foimu wakati utakapofika

Aidha Mbunge wa jimbo la Kisarawe Mhe Jafo amewashukuru wajumbe hao na kusema kuwa amefurahishwa na uamuzi huo na kuongeza kuwa unaashiria Imani kubwa aliyojijengea kwa wananchi wake na upendo wa dhati walionao kwake.
 
Bwana Jafo kipindi cha Magu nyota iliwaka kweli kweli,ilikuwa Jafo hivi Jafo vile.Sasa hivi ziiiii.
 
Wakuu,

Wajumbe wamefurahi bana, wajumbe watakuwa wamekunwa kweli kweli mpaka wametema😂😂, yetu macho. Ila wajumbe hawajawahi kuwa watu wazuri😂😂, wanakuchekea mwishoni hutaamini macho yako.

=====

View attachment 3192952

Wajumbe wa Mkutano mkuu kutoka kata za Kazimzumbwi na Kiluvya Kisarawe Pwani wameazimia kwa kauli moja kumchangia fedha kwaajili ya kumchukulia fomu Mbunge wao Mhe Dkt Selemani Jafo kwaajili ya kugombea nafasi ya Ubunge katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwaka 2025.

Azimio hilo limetolewa na wajumbe kutoka kata hizo katika mkutano wa uwasilishaji wa taarifa ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya chama cha mapinduzi CC kutokana na kazi kubwa inayofanywa na mbunge wao Mhe Jafo hivyo wameona ipo sababu ya kumuunga mkono kwa kumchangia fedha zitakazomuwezesha kuchukua foimu wakati utakapofika

Aidha Mbunge wa jimbo la Kisarawe Mhe Jafo amewashukuru wajumbe hao na kusema kuwa amefurahishwa na uamuzi huo na kuongeza kuwa unaashiria Imani kubwa aliyojijengea kwa wananchi wake na upendo wa dhati walionao kwake.
Muda wa drama, umefika, kuanzia sasa wanaotaka uongozi tegemea kula nao kwa mama ntilie tena kwenye mazingira machafu, tegemea kukutwa nao saloon na wakakuosha kucha na miguu, tegemea kupanga nao foleni ya daladala, kwa sasa wao si waheshimiwa hawataki hata kuitwa hivyo kwa sasa na wao ni bodaboda, mamantilie, wapiga debe, barmaids, na hata wauza miili wa usiku ikibidi ilimradi wapate uongozi
 
Wakuu,

Wajumbe wamefurahi bana, wajumbe watakuwa wamekunwa kweli kweli mpaka wametema😂😂, yetu macho. Ila wajumbe hawajawahi kuwa watu wazuri😂😂, wanakuchekea mwishoni hutaamini macho yako.

=====

View attachment 3192952

Wajumbe wa Mkutano mkuu kutoka kata za Kazimzumbwi na Kiluvya Kisarawe Pwani wameazimia kwa kauli moja kumchangia fedha kwaajili ya kumchukulia fomu Mbunge wao Mhe Dkt Selemani Jafo kwaajili ya kugombea nafasi ya Ubunge katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwaka 2025.

Azimio hilo limetolewa na wajumbe kutoka kata hizo katika mkutano wa uwasilishaji wa taarifa ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya chama cha mapinduzi CC kutokana na kazi kubwa inayofanywa na mbunge wao Mhe Jafo hivyo wameona ipo sababu ya kumuunga mkono kwa kumchangia fedha zitakazomuwezesha kuchukua foimu wakati utakapofika

Aidha Mbunge wa jimbo la Kisarawe Mhe Jafo amewashukuru wajumbe hao na kusema kuwa amefurahishwa na uamuzi huo na kuongeza kuwa unaashiria Imani kubwa aliyojijengea kwa wananchi wake na upendo wa dhati walionao kwake.

Anazuia wengine tusigombee siyo
 
Wakuu,

Wajumbe wamefurahi bana, wajumbe watakuwa wamekunwa kweli kweli mpaka wametema😂😂, yetu macho. Ila wajumbe hawajawahi kuwa watu wazuri😂😂, wanakuchekea mwishoni hutaamini macho yako.

=====

View attachment 3192952

Wajumbe wa Mkutano mkuu kutoka kata za Kazimzumbwi na Kiluvya Kisarawe Pwani wameazimia kwa kauli moja kumchangia fedha kwaajili ya kumchukulia fomu Mbunge wao Mhe Dkt Selemani Jafo kwaajili ya kugombea nafasi ya Ubunge katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwaka 2025.

Azimio hilo limetolewa na wajumbe kutoka kata hizo katika mkutano wa uwasilishaji wa taarifa ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya chama cha mapinduzi CC kutokana na kazi kubwa inayofanywa na mbunge wao Mhe Jafo hivyo wameona ipo sababu ya kumuunga mkono kwa kumchangia fedha zitakazomuwezesha kuchukua foimu wakati utakapofika

Aidha Mbunge wa jimbo la Kisarawe Mhe Jafo amewashukuru wajumbe hao na kusema kuwa amefurahishwa na uamuzi huo na kuongeza kuwa unaashiria Imani kubwa aliyojijengea kwa wananchi wake na upendo wa dhati walionao kwake.
Fomu ya ubunge ni Tsh ngapi??..
 
Back
Top Bottom