Unajua history ya Mombasa vizuri mkuu?Kutangaza kujitenga eneo fulani la nchi moja ni kutangaza uasi, kwahiyo nguvu ya dola itawashughulikia ipasavyo
Ebu toa ufafanuzi mkuu tupate kujua wengiUnajua history ya Mombasa vizuri mkuu?
Yeye hana hoja yoyote, hoja yake ni moja tu LCD basi, anashindwa na kukataa kukubaliana na ukweli kwamba Kenya inasambaratika, bado anashikilia ukuta wakati nyumba imeshabomoka karibu yoteJibu hoja buda[emoji33] [emoji33]
upande wenu upi?Hiyo ndio faida ya mifumo ya majimbo.
Wasipokua makini kila jimbo litatanga kujitenga.
Wajitenge wajiunge na upande wetu tufanye kazi.
Huyu jamaa kakariri LDC kama sala ya kutaka kula chakula.Yeye hana hoja yoyote, hoja yake ni moja tu LCD basi, anashindwa na kukataa kukubaliana na ukweli kwamba Kenya inasambaratika, bado anashikilia ukuta wakati nyumba imeshabomoka karibu yote
Hujasikia wamesema wapo tayari kwa changamoto.Kutangaza kujitenga eneo fulani la nchi moja ni kutangaza uasi, kwahiyo nguvu ya dola itawashughulikia ipasavyo
Last kick of a dying horse[emoji1] [emoji1]Watu wa LCD.
Umeingiza hoja nyingine tofauti na hoja husikaLCD mtuletee pia ya Zanzibar.
Lcd ni niniWatu wa LCD.
Fanya kutafuta kwa Google.Lcd ni nini
Eneo la Pwani nchini Kenya limetangaza mpango mkakati Wa kujitenga kutoka Kenya...madai yao ni kwamba wamepuuzwa na sana na serikali zote zilizotawala Kenya..so wanajipanga kwaajili ya kutekeleza mpango wao na watakuwa tayari kwa changamoto zote watakazokutana nazo pindi watakapoliamsha dude...source KTN news