Pwani na Dar wapata Upungufu wa Maji kutokana na hitilafu ya Umeme Mtambo wa Ruvu Juu

Pwani na Dar wapata Upungufu wa Maji kutokana na hitilafu ya Umeme Mtambo wa Ruvu Juu

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
TAARIFA KWA UMMA

29.8.2024

UPUNGUFU WA HUDUMA YA MAJI KWA WAKAZI WA MIKOA YA DAR ES SALAAM NA PWANI

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) inawatangazia Wateja na wananchi wa Mikoa ya Dar es salaam na Pwani kuwa kumekuwa na upungufu wa huduma ya maji kutokana na hitilafu ya umeme katika mfumo wa kupokea umeme kwenye mtambo wa Uzalishaji Maji wa Ruvu Juu.

Maeneo yanayoathirika ni maeneo yote Mlandizi, Msufini, Vigwaza, Chamakweza, Ruvu, Kwa Mathias, Pangani Bokomnemela, Kibaha, Visiga, Picha ya Ndege, Kiluvya, Kibamba, Mbezi, Makabe, Kimara, Msewe, Changanyikeni, Mabibo, Kisarawe, Ukonga, Kinyerezi, Tabata, Temeke, Segerea, Makuburi, Ubungo Maziwa, Mwananchi, Kiwalani, Lumo, Yombo Vituka, Uwanja wa Ndege, Banana, Viwanda vya Barabara ya Nyerere, Jet, Buguruni, TAZARA

Wataalam wa DAWASA na TANESCO wanashirikiana ili kurudisha huduma katika hali ya kawaida.

Tunawaomba wananchi wawe wavumilivu wakati Wataalam wanaendelea na jitihadi za kurudisha huduma!

Wasiliana nasi kupitia kituo cha huduma kwa wateja
0800110064 (bure) au
0735 202-121 (WhatsApp tu)

Imetolewa na
Kitengo cha Mawasiliano

Pia soma:
Thread 'Stendi ya Mbezi Magufuli hakuna maji siku ya pili leo'
Thread 'Stendi ya Mbezi Magufuli hakuna maji siku ya pili leo'
 
TAARIFA KWA UMMA

29.8.2024

UPUNGUFU WA HUDUMA YA MAJI KWA WAKAZI WA MIKOA YA DAR ES SALAAM NA PWANI

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) inawatangazia Wateja na wananchi wa Mikoa ya Dar es salaam na Pwani kuwa kumekuwa na upungufu wa huduma ya maji kutokana na hitilafu ya umeme katika mfumo wa kupokea umeme kwenye mtambo wa Uzalishaji Maji wa Ruvu Juu.

Maeneo yanayoathirika ni maeneo yote Mlandizi, Msufini, Vigwaza, Chamakweza, Ruvu, Kwa Mathias, Pangani Bokomnemela, Kibaha, Visiga, Picha ya Ndege, Kiluvya, Kibamba, Mbezi, Makabe, Kimara, Msewe, Changanyikeni, Mabibo, Kisarawe, Ukonga, Kinyerezi, Tabata, Temeke, Segerea, Makuburi, Ubungo Maziwa, Mwananchi, Kiwalani, Lumo, Yombo Vituka, Uwanja wa Ndege, Banana, Viwanda vya Barabara ya Nyerere, Jet, Buguruni, TAZARA

Wataalam wa DAWASA na TANESCO wanashirikiana ili kurudisha huduma katika hali ya kawaida.

Tunawaomba wananchi wawe wavumilivu wakati Wataalam wanaendelea na jitihadi za kurudisha huduma!

Wasiliana nasi kupitia kituo cha huduma kwa wateja
0800110064 (bure) au
0735 202-121 (WhatsApp tu)

Imetolewa na
Kitengo cha Mawasiliano
Mbagala wanatumia visima vya mama vilivyo chini ya DAWASA maji hayatoki kwa zaidi ya wiki, nako tatizo ni hilohilo?
 
Alie toa iyo kauli afukuzwe kazi mala moja Tanzania sasa hivi haina shida ya umeme
 
Luguruni kibamba hawatoi maji ya DAWASA kwa wakati ili wauza maji kwenye magari waweze kufanya biashara ya maji.

Huu ni uhuni wa kizamani
 
Back
Top Bottom