Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
TAARIFA KWA UMMA
29.8.2024
UPUNGUFU WA HUDUMA YA MAJI KWA WAKAZI WA MIKOA YA DAR ES SALAAM NA PWANI
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) inawatangazia Wateja na wananchi wa Mikoa ya Dar es salaam na Pwani kuwa kumekuwa na upungufu wa huduma ya maji kutokana na hitilafu ya umeme katika mfumo wa kupokea umeme kwenye mtambo wa Uzalishaji Maji wa Ruvu Juu.
Maeneo yanayoathirika ni maeneo yote Mlandizi, Msufini, Vigwaza, Chamakweza, Ruvu, Kwa Mathias, Pangani Bokomnemela, Kibaha, Visiga, Picha ya Ndege, Kiluvya, Kibamba, Mbezi, Makabe, Kimara, Msewe, Changanyikeni, Mabibo, Kisarawe, Ukonga, Kinyerezi, Tabata, Temeke, Segerea, Makuburi, Ubungo Maziwa, Mwananchi, Kiwalani, Lumo, Yombo Vituka, Uwanja wa Ndege, Banana, Viwanda vya Barabara ya Nyerere, Jet, Buguruni, TAZARA
Wataalam wa DAWASA na TANESCO wanashirikiana ili kurudisha huduma katika hali ya kawaida.
Tunawaomba wananchi wawe wavumilivu wakati Wataalam wanaendelea na jitihadi za kurudisha huduma!
Wasiliana nasi kupitia kituo cha huduma kwa wateja
0800110064 (bure) au
0735 202-121 (WhatsApp tu)
Imetolewa na
Kitengo cha Mawasiliano
Pia soma:
Thread 'Stendi ya Mbezi Magufuli hakuna maji siku ya pili leo'
Thread 'Stendi ya Mbezi Magufuli hakuna maji siku ya pili leo'
www.jamiiforums.com
29.8.2024
UPUNGUFU WA HUDUMA YA MAJI KWA WAKAZI WA MIKOA YA DAR ES SALAAM NA PWANI
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) inawatangazia Wateja na wananchi wa Mikoa ya Dar es salaam na Pwani kuwa kumekuwa na upungufu wa huduma ya maji kutokana na hitilafu ya umeme katika mfumo wa kupokea umeme kwenye mtambo wa Uzalishaji Maji wa Ruvu Juu.
Maeneo yanayoathirika ni maeneo yote Mlandizi, Msufini, Vigwaza, Chamakweza, Ruvu, Kwa Mathias, Pangani Bokomnemela, Kibaha, Visiga, Picha ya Ndege, Kiluvya, Kibamba, Mbezi, Makabe, Kimara, Msewe, Changanyikeni, Mabibo, Kisarawe, Ukonga, Kinyerezi, Tabata, Temeke, Segerea, Makuburi, Ubungo Maziwa, Mwananchi, Kiwalani, Lumo, Yombo Vituka, Uwanja wa Ndege, Banana, Viwanda vya Barabara ya Nyerere, Jet, Buguruni, TAZARA
Wataalam wa DAWASA na TANESCO wanashirikiana ili kurudisha huduma katika hali ya kawaida.
Tunawaomba wananchi wawe wavumilivu wakati Wataalam wanaendelea na jitihadi za kurudisha huduma!
Wasiliana nasi kupitia kituo cha huduma kwa wateja
0800110064 (bure) au
0735 202-121 (WhatsApp tu)
Imetolewa na
Kitengo cha Mawasiliano
Pia soma:
Thread 'Stendi ya Mbezi Magufuli hakuna maji siku ya pili leo'
Thread 'Stendi ya Mbezi Magufuli hakuna maji siku ya pili leo'
KERO - Stendi ya Mbezi Magufuli hakuna maji siku ya pili leo
Stendi ya Mbezi Magufuli leo siku ya pili hakuna huduma ya maji, hali si hali kwani abiria wanapata tabu, na watu wanaofanya shughuli zao humu ndani na nje ya stendi kadhalika. Hali imekuwa mbaya kiasi cha watu kuambiwa wajisaidie haja ndogo tu na si haja kubwa kutokana na kukosekana maji licha...