PWC Job interview

PWC Job interview

MAUBIG

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
1,039
Reaction score
855
Please ndugu zangu wa JF, kwa anayefahamu kuhusu interview ambazo PRICE WATER COOPERS walisema watazifanya kuanzia 07 hadi 13 mwezi huu, vipi watu wameshanza kufanya hizo test zao, maana ijumaa jioni walinitumia email kunifahamisha nicheki email yangu mara kwa mara lakini kila nikicheki naona kimya kizito. please nijuzeni
 
Please ndugu zangu wa JF, kwa anayefahamu kuhusu interview ambazo PRICE WATER COOPERS walisema watazifanya kuanzia 07 hadi 13 mwezi huu, vipi watu wameshanza kufanya hizo test zao, maana ijumaa jioni walinitumia email kunifahamisha nicheki email yangu mara kwa mara lakini kila nikicheki naona kimya kizito. please nijuzeni

bado kimya mkuu vuta subra nahisi wataongeza muda cuz frm 2moro watu wanaseat for cpa exams wanamaliza ijumaa kama wataweka consideration hiyo bt kama unasifa usihofu hawa jamaa hawana longolongo
 
Please ndugu zangu wa JF, kwa anayefahamu kuhusu interview ambazo PRICE WATER COOPERS walisema watazifanya kuanzia 07 hadi 13 mwezi huu, vipi watu wameshanza kufanya hizo test zao, maana ijumaa jioni walinitumia email kunifahamisha nicheki email yangu mara kwa mara lakini kila nikicheki naona kimya kizito. please nijuzeni
angalia kwenye spam..mimi enzi zetu wakati tunafanya hizo aptitude zao, nilitumiwa feedback za aptitude mail ikaingia kwenye spam, bahati nzuri siku hiyo naiona mchana ndo nlikuwa nimeitwa kufanya oral (managers)! so check kwa spam...usipoona then probably bado
 
Hello, the friend of Mine i do hope you are talking about PWC Graduate Recruitment 2012, for those who were unsuccessful in their pre-requirements they have been informed since 3/05/2012. Perhaps you are in the waiting list, worry not but dont go away from your e-mail and prepare yourself for ability test(Timed Online Test www.shld.com)
Gat me?
 
kuna email now.... competency test online before friday....
 
Hiv hiyo competency test inatakiwa ifanyike on friday tu,au before friday?na pia inatakiwa ifanyike kwa muda gani?twende pamoja wadau
 
Here are the facts my Brothers and sister, Just go to www.shld.com, register yourself and make some practices on Numerical reasoning and verbal ability test at least to see samples, Remember this are Online Timed Test Measuring your Competency(Intelligent Quotient-IQ) The Test will end after 19minutes and other 25minutes, you need to make Practices and Everything Gonna Be Alright Under Ceteris Peribus. Worry not the friend of mine, Examination is nothing but CONFINdENCe...Best wishes.....
 
Back
Top Bottom