MAUBIG
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,039
- 855
Please ndugu zangu wa JF, kwa anayefahamu kuhusu interview ambazo PRICE WATER COOPERS walisema watazifanya kuanzia 07 hadi 13 mwezi huu, vipi watu wameshanza kufanya hizo test zao, maana ijumaa jioni walinitumia email kunifahamisha nicheki email yangu mara kwa mara lakini kila nikicheki naona kimya kizito. please nijuzeni