PWC tiari....

PWC tiari....

Masarafu

Member
Joined
May 24, 2012
Posts
22
Reaction score
13
ni swali sio statement.... hawa jamaa walinipiga kila ki competency mda mrefu kinoma online, sa sijui ndo nshabugi au bado?
 
tayari watu washafanya na hesabu, mie waliniita ruhusa ikagomba kutoka kwa bosi wangu
 
Ukisikia paa ujue imekukosa na ukiona manyoya ujue kaliwa tiririkaaaaaaa!!
 
Acheni kudanganyana. ndo kwanza wanaita second interview ukiacha ile ya Aptitude test ya pale Techno brain
 
Back
Top Bottom