PWEZA Kamaliza Ubishi!!

Kimey

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2009
Posts
4,117
Reaction score
833


Yatatimia Hayaa!! Go Slaa Gooo!!
 
Ambulance za kubebea wenye BP mmeandaa au mnaleta mchezo kwenye ulaji,hiyo october iko njiani.
 
Hiyo inawezekana kabisa but still kazi ya kuuelimisha umma inahitajika kuuondoa uongozi dhalimu na wa kifedhuli uliojaa
ubabaishaji, uvivu, ubinafsi, ..............etc.

Kenya pia ilikuwa hukohuko but changes came! refer Kibaki's reign.


ANGALIZO!!!!!!!!!

PWEZA ALIYEBUNIWA HAPO JUU ASITUBWETESHE,
HATA MIMI NAWEZA KUM EDIT AKAONESHA USHINDI WA JK INGAWA NTAMPIGIA SLAAAAAAAAAAAAAAAAAA!
:nod::nod::nod::nod::nod::nod::nod::nod::nod::nod: AU SIYO!
 
Jamani Uchaguzi si Mpira hata kama tunataka mabadiliko
Hii haimaanishi kuwa kisa Pweza kasema ndo watu walale.. No!! hata huko kwenye Mpira Timu ilicheza tena sana na kwa kujituma mwishowe ikashinda! So lets play our role kama wananchi!!
 
Nyie mnaota kweli!, kuiondoa CCM ni ngumu sana kwa sasa labda baada ya miaka 500 ijayo...
 
mamaaaaaa au ndo maana JK kaenda Norway jana labda anaenda kuhakiki alichotabiri pweza huyu
 
yaani i wish Slaa ashinde..though CCM watashinda coz watz wengi wako vijijini na kule wanakijua ccm tu,hii mambo ya sera mbovu wao hawana habari,wengine hawajui hata sera ni nini!we have a job to do kuwaelimisha wapiga pira hasa vijijini ndo wamelala...:help:
 


Yatatimia Hayaa!! Go Slaa Gooo!!
Jamani huyu Paulo safari hii mbona inaonekana kama kabandikiwa badala ya kuchagua mwenyewe, mbona kama bendera zimemficha miguu badala ya vice versa. Haya tusubiri huo ushindi wa CCM, akha samahani tena wa CHADEMA kwa mujibu mganga.
 
Paulo kabandikiwa tu, japo kinachoonekana kinafanana na ukweli.

Kwa upande mwingine, Paulo anaonekana kuwa na supu tamu na yenye nguvu sana au vipi wana JF?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…