Pweza Pauls atabiri matokeo ya uchaguzi mkuu wa Tanzania 2010! Upinzani oyeeee!

Status
Not open for further replies.
Kama ingekuwa kweli ningefurahi maana lol watu wangekoma. Saa hizi wa2 wangekuwa wako ICU kwa pessure.
 
sasa nani atakua mshindi?kati ya hao wawili au wataunda serikali ya pamoja?
 
jamani na sheikh yahya naye kaja na pweza wake matokeo yake ni CCM.Kazi kweli kweli...2010
 

Attachments

  • 35224_411553985063_607965063_4900149_5936414_n.jpg
    30.4 KB · Views: 35
Ahahahahaa-pressure zimepanda juu. Sisi tulishaambiwa na shehe yahya hivyo hatuna waswasi
 
Itabidi kwanza Pweza Paulo aende tume ya uchaguzi atembeze mkong'oto - hawatamweza kwani ana ngumi na mateke mengi - ili waache tabia ya kucheza na hizo namba kwa manufaa ya mabosi wao.
 
pweza gani huyo..pepo tu hilo...nikilikuta mimi nalikatakata kwenye kisufuria napika supu ya pweza hadi ikome....futilia mbali uchawi wa kichina huo..
 
Mbona pweza mwenyewe kaikumbatia ccm?sielewi?
 
Photoshop at work!

:humble:😛lane::horn::horn::horn::horn::horn::horn::horn::horn::horn::horn::horn::horn::horn::horn::horn::horn::horn::horn:
The Following 5 Users Say Thank You to Masanilo For This Useful Post:
Da Womanizer (Today), Invisible (17th July 2010), King of Kings (15th July 2010), Nyunyu (15th July 2010), rmashauri (15th July 2010)​
Nyie mnaogonga thanks kwa reply ambazo ni craps ndo mnawapa vichwa hao mabwana wadogo!:angry:
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…