OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Wanasema,"mungu wa nyani ndiye mungu wa ngedere"Kama sio Mayele leo mwarabu alikuwa anapigika kigali
Kweli mpira unamaajabu yake wwkati huo Azam akitoa sare na Pamba jiji
futi boli inamaajabu sana
Watakujibu Usijisahau wewe mpangaji tu humu
apr ni timu nzuri sanaView attachment 3095954
Kama sio Mayele leo mwarabu alikuwa anapigika kigali
Kweli mpira unamaajabu yake wakati huo Azam akitoa sare na Pamba jiji
futi boli inamaajabu sana
Hilo goli la APR, pyramids wamejifunga wenyewe.View attachment 3095954
Kama sio Mayele leo mwarabu alikuwa anapigika kigali
Kweli mpira unamaajabu yake wakati huo Azam akitoa sare na Pamba jiji
futi boli inamaajabu sana
Kwani Mayele ni mchezaji wa timu gani?Kama sio Mayele leo mwarabu alikuwa anapigika kigali