Dalton elijah
JF-Expert Member
- Jul 19, 2022
- 373
- 829
Zamalek amekula chuma tatu kama amesimama na bao la kwanza ameweka Mayele mtu mbadi.
Pyramids wanaendelea kuongoza Ligi Kuu Misri mbele ya Al Ahly.
Kama nilivyosema mkisikia Pyramids wamechukua ubingwa msimu huu msishangae jamaa wanapiga Mpira Sana.
Pyramids wanaendelea kuongoza Ligi Kuu Misri mbele ya Al Ahly.
Kama nilivyosema mkisikia Pyramids wamechukua ubingwa msimu huu msishangae jamaa wanapiga Mpira Sana.