Q-Chief ajipachika jina/a.k.a ya 'Chichi'

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Msanii wa bongo fleva aliye kuwa anajiita q chief, sasa hivi anajiita CHICHI. Hii a.k.a yake mpya ya chichi imeleta gumzo kitaa baada ya kuonekana hilo jina la chichi linatumika kuwatambulisha mashoga. Bado hajapatika kuelezea kwanini kaamua kujiita chichi. mia
 

Huyu dogo si ndio kipindi fulan alikuwa anajiita Savimbi...?.sina uhakika kama haya majina wanayojipachika kama wanajua hata ni nini....wasanii wa bongo bhana.
 
Si alihamia mombasa, ukute washamhemea! Kichogo kinafukuta tu kwa sasa!
 
Sidhani kama CHICHI ni neno/jina linalotambulika kwa mashoga. Unaweza kuwa na source mkuu?
 
Sidhani kama CHICHI ni neno/jina linalotambulika kwa mashoga. Unaweza kuwa na source mkuu?

Mkuu hayo ni maneno ya mjini. mtu akikuambia leo nmekutana na chichi la nguvu au mchichi jua kakutana na shoga. hata wanaume wanao jiuza hawasemi kama wao ni mashoga bali wanasema "mimi ni chichi vipi nije tukae wote?" kama muelewa ushajua anamanisha nini lakini akikuona hujui anakula kona. kuna wimbo ambao huyo savimbi katoa wa kiganda na kinyarwanda amejitaja as chichi-man. mia
 

Kusema ukweli hii ya kwamba neno CHICHI linaashiria shoga nimelifahamu leo. Ina maana wale washkaji zangu wawili CHICHI ni mashoga? No way!!
 
CheiChei bwana sio chichi........Mie nalikubali Jina lake la Savimbi.
 
chichi jina la kidemu hili...
 
huyu jamaa nae anatafuta pa kurudia ila awe makini na majina anayojipa wazee wa muji wasije wakamfanyia booking
 
Chichi in jamaica means gay,spanish means Tits labda jamaa bwabwa kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…