korojani
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 231
- 237
Wakuu leo niliamua nisikilize nyimbo za wanamuziki (wanaoimba tu) wengi wa bongoflava wale wa zamani na hawa wa sasa.
Nilichokuja kugundua Q Chief bado ni mwanamuziki wangu wa miaka yote. Sahau hawa wanamuziki wengi wa leo wataotumia Autotune ili kurebisha sauti zao za hovyo.
Kinachomponza anashindwa kukubali ni masharti ya wanyonyaji wa muziki ili wampe promotion.
Nilichokuja kugundua Q Chief bado ni mwanamuziki wangu wa miaka yote. Sahau hawa wanamuziki wengi wa leo wataotumia Autotune ili kurebisha sauti zao za hovyo.
Kinachomponza anashindwa kukubali ni masharti ya wanyonyaji wa muziki ili wampe promotion.