Q, Chief: Uwezo wangu kimuziki ni mkubwa sana, Patoranking ameshangaa watanzania kunipotezea

Hajasoma soko la mziki uwezo bila juhudi ni sawa na bule anakumbuka shuka kumekucha kama kashidwa game akae pembeni
 
Ongeza yupo na jaydee sitaki kumbuka zamani(sitaki ota) hapo ilikuwa khatari sana mpiga debe akiwa na mzimuni family wacha kabisa ndugu umenikumbusha kitambo kidogo hiyo.
Kuna ngoma 1 inaitwa 'ASEME', ilikuwa hatari, kuna nyingine anamtafuta RAIS nayo noma
 
Kuna ngoma 1 inaitwa 'ASEME', ilikuwa hatari, kuna nyingine anamtafuta RAIS nayo noma
Alianza vizuri sana haya mambo ya mchele (poda )yana gharama zake pia tukumbuke fursa na kipindi anawika mambo hayakuwa kama sasa hivi sijui twitter au instagram kilikuwa kipindi kigumu kiasi kuweza kuyahimilihayo ukija changanya na ngada tena basi inakuwa kazi.
 
kwani pantoraking ndo hawezi kudanganya?
 
Q chilla!!! Nakumbuka album ya kwanza zilikuwa nyimbo za hisia sana unasikiliza mpaka unaweza dondosha chozi!

Nikisikizaga ile remix ya zamani waliyorudia barnaba na lina aisee jamaa yupo vizuri
 
Aisee hiyo Pini Q-Chief aliua mbaya,Walaaniwe wazungu wa Unga,[HASHTAG]#Amani[/HASHTAG] kwa kaka voda milionea waambie wadogo zako waache poda wale mmea.
Amani kwa kaka Voda millionea waambie wadogo zako waache ushoga na umbea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…