Tumsifu Samwel JF-Expert Member Joined Jul 30, 2007 Posts 1,407 Reaction score 161 Jun 4, 2010 #1 Asee na sikiliza East africa radio, Q chillah anahojiwa kwa kiswahili anaijbu kiinglish, English yenyewe ya kindagaten.. Hivi huyu jamaa ana matatizo gani siku hizi? toka ameingia kwenye taarabu amekuwa na swaga za ajabu ajabu sana hadi ana kera.
Asee na sikiliza East africa radio, Q chillah anahojiwa kwa kiswahili anaijbu kiinglish, English yenyewe ya kindagaten.. Hivi huyu jamaa ana matatizo gani siku hizi? toka ameingia kwenye taarabu amekuwa na swaga za ajabu ajabu sana hadi ana kera.
Mkorintho JF-Expert Member Joined Feb 17, 2009 Posts 594 Reaction score 1,141 Jun 4, 2010 #2 Huwa wanachanganya lugha mpaka anajikuta katoka nje ya alichoulizwa. "Uno waramseyin" kibao
U Ubungoubungo JF-Expert Member Joined Jul 28, 2008 Posts 2,502 Reaction score 741 Jun 5, 2010 #3 anajifunza kiswanglish...