Q chillah anajifunza Kiinglish Nini?

Tumsifu Samwel

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2007
Posts
1,407
Reaction score
161
Asee na sikiliza East africa radio, Q chillah anahojiwa kwa kiswahili anaijbu kiinglish, English yenyewe ya kindagaten..

Hivi huyu jamaa ana matatizo gani siku hizi? toka ameingia kwenye taarabu amekuwa na swaga za ajabu ajabu sana hadi ana kera.
 
Huwa wanachanganya lugha mpaka anajikuta katoka nje ya alichoulizwa. "Uno waramseyin" kibao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…