Qatar Airways yapiga marufuku ndege zake zinazofanya safari za kuelekea na kutoka Kenya kumbeba Miguna Miguna

Haya ndio madhara ya kutumika kisiasa,mwenzake Odinga yupo Kenya na familia yake ana enjoy tu maisha wala hana habari nae,kamtumia kama Big G tu!

Kuna funzo kubwa sana kupitia mkasa huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…