Qchilla umerudi mzee

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Kazi aliyotoa chilla recently Ni Kali Sana inaitwa "bimbilika" inanikumbusha ngoma zake za nyuma Kama u Hali gani.Jamaa ana kipaji kikubwa Sana napenda apate Mafanikio Kama kipaji chake kilivyo.
 
Jana wewe na yule Papaa Gx mmekimbia jukwaa lenu wazee, three nil.
Ngoja nikaisikilize hiyo ngoma.
 
Kazi aliyotoa chilla recently Ni Kali Sana inaitwa "bimbilika" inanikumbusha ngoma zake za nyuma Kama u Hali gani.Jamaa ana kipaji kikubwa Sana napenda apate Mafanikio Kama kipaji chake kilivyo.
Unamsifia baada ya kutoka Konde Gang sio
 
Kazi aliyotoa chilla recently Ni Kali Sana inaitwa "bimbilika" inanikumbusha ngoma zake za nyuma Kama u Hali gani.Jamaa ana kipaji kikubwa Sana napenda apate Mafanikio Kama kipaji chake kilivyo.
Huyu alishaihezea nafasi yake. Imeisha hiyo...zama zake zimepita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…