Hey wana JF nina mdogo wangu kafanya mtihani wa QT amefeli, eti hawezi kuruhusiwa kufanya mtihani wa form 4. naomba mnijuze.
Hey wana JF nina mdogo wangu kafanya mtihani wa QT amefeli, eti hawezi kuruhusiwa kufanya mtihani wa form 4. naomba mnijuze.
The Qualifying Test examination will be administered to private candidates inteding to sit for the Certificate of Secondary Education Examination (CSEE), but do not have Form II level secondary education.