Qt vyuoni

Qt vyuoni

salimkabora

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2012
Posts
2,441
Reaction score
652
Nina vijana wangu wamekuwa wakinifanyia kazi nzuri sana na kwa uaminifu katika biashara zangu nataka niwaendeleze kwa masomo haya ya QT tatizo sijui vyuo gani vinatoa elimu hiyo; tafadhali mnaovijua tusaidiane na hasa vilivyo maeneo ya Tabata, Buguruni au mitaa ya kuelekea airport na ukonga vingefaa sana
 
Back
Top Bottom