Sasa mbona mimi hawajanibadilishia hapohapo? Hata nimesikia wengine waliobadilisha,hazijabadilika?
Wadau nijisajili kila nikijaribu wananiambaia nimekosea login nimejaribu mara nyingi kwa usahihi mkubwa tatizo lipo vili vili na kitufe cha kusahau passward hakifanyi kazi msaada tafadhali
Jamani jinsi ya kufanya changes au kuongeza ndio tatizo, tunafanyeje ili kuongeza kozi au kubadilisha manaake mi sion option ya kufanyia changes
Wadau nijisajili kila nikijaribu wananiambaia nimekosea login nimejaribu mara nyingi kwa usahihi mkubwa tatizo lipo vili vili na kitufe cha kusahau passward hakifanyi kazi msaada tafadhali