Ebwana kweli ww ni mtanzania makini, ahsante sana kwa jibu zuri na nimelizika nalo kabisa.
Lakini swali lingine la nyaongeza hapohapo. Kwenye nchi yetu sasa hivi kuna watu wanokwenda kuanza moja kwa moja professional Board baaada ya kumaliza form four alafu wakimaliza hadi kupewa usajili wanaajiriwa na kupewa priority kuliko mtu aliyemaliza form six na degree, wakidai kwamba huyu aliyesajiliwa na board yupo competent zaidi yaani kimatendo kuliko wa degree(Nadharia ya darasani). Hii inakuwaje? Mkuu!