Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Udhamini wa Kilimanjaro ndo umeenda na maji?
Kwahiyo Quality Group inalipa kiasi gani kwa Yanga? Na club ina faidika vipi??Yap,TBL walisema hawataongeza mkataba
Kwahiyo Quality Group inalipa kiasi gani kwa Yanga? Na club ina faidika vipi??
Au ndo yale ya Manji kujilipa pesa kama mdhamini na kupokea kama mmiliki.Hata TBL sikujua walikuwa wanalipa how much,I think wanachama wanaohudhuria vikao ndio wanapaswa kuuliza hayo maswali kwa uongozi
Au ndo yale ya Manji kujilipa pesa kama mdhamini na kupokea kama mmiliki.
Mmeipenda wenyewe Kama chama chenyuWakuu nimeona leo Yanga wamevaa T-shirt zenye maneno ya Quality Group.
Je inamaana tayali yule Manji alishakodishwa ile timu ya pale mitaa ya Jangwani?.
Na kama ndio kwa hiyo tutegemee kesho kutangaziwa faida au hasara?.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1]Sisi tunataka ushindi uwanjani siyo mambo ya kuhamisha pesa kwenda kwemye akaunti za michepuko yetu kama vyura fc aka wa matopeni,mikia nk
Mkojo wa shetani sio......?Kwanza kheri kuliko kutangaza haramu
Wakuu nimeona leo Yanga wamevaa T-shirt zenye maneno ya Quality Group.
Je inamaana tayali yule Manji alishakodishwa ile timu ya pale mitaa ya Jangwani?.
Na kama ndio kwa hiyo tutegemee kesho kutangaziwa faida au hasara?.