Quantity Surveyor natafuta kazi

Quantity Surveyor natafuta kazi

lucas paul

Senior Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
144
Reaction score
43
Habari ndugu zangu kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza mm ni quantinty surveyor nimesomea chuo kikuu cha ardhi Dar es salaam hivyo bas napenda kutaarifu jamii kuwa nafanya kazi mabali mbali za kuushu ujenzi wa majengo kama vile

.ukadiliaji gharama za ujenzi mfano kama una raman yako unataka ujenge ujui utatumia gharama gan nitafute nikufanyie

.kuandaa schedule of materia yaan hapa nitakufahamisha nyumba yako inaitaji mfano matofali mangap,cement mifuko mingap,zege cubic mita ngap na mchanga kias gan pia idadi za nondo n.k
kiujumla mambo yote yahusuyo ujenzi nafanya na pia naweza kukuchorea raman uipendayo na kutoa gharama zake za ujenzi

wasiliana nam kwa namba za hapo juu na hata kama utapenda kuniajili nikusimamie ujenzi wa nyumba yako au kufanya nawe kazi katika kampuni yako tunaweza kuongea

namba ni 0753757303/0677400169 au email lucaspmap@gmail.com tuma mchoro wako niuone tuongee kama utakuwa nao tayari.Pia nafanya kazi zote za finishes kama sub-contractor na unaweza kujengewa pia. Wadau kampun yangu ya ujenzi inaitwa Lupama Engineering Company limited 0677400169 nichekin tujenge pamoja
 
WADAU NIMEBADILISHA NAMBA NATUMIA 0753757303/0677400169
 
Wadau Sasa Nina kampuni ya ujenzi nafanya Kaz za ujenzi wa nyumba,kuchora Raman na kuandaa garama za ujenzi kuandaa BOQ ambayo unaweza kwenda kuombea mkopo benk 0753757303/0677400169 kampuni yangu inaitwa Lupama Engineering company limited
 
Mimi ni Quantity Surveyor (mkadiliaji majenzi) kwa anayeitaji huduma ya kuandaliwa Boq ya kuonesha gharama za ujenzi wa nyumba yake au kwa kuombea mkopo pia kuandaliwa materials ambayo yataonesha nyumba yake inatumia material gani na kiasi gani na gharama kiasi gani pia hata ukitaka kujengewa kwa bei nafuu kabisa bila kusahau kuchorewa ramani nzuri na bora nicheki watsap 0753757303 /0677400169/0658400165
 
mm ni Quantity Surveyor ( mkadiliaji majenzi) kwa anayeitaji uduma ya kuandaliwa Boq ya kuonesha garama za ujenzi wa nyumba yake au kwa kuombea mkopo pia kuandaliwa materials ambayo yataonesha nyumba yake inatumia material gan na kias gan na garama kiasi gani pia ata ukitaka kujengewa kwa bei nafuu kabisa bila kusahau kuchorewa raman nzuri na bora nicheki watsap 0753757303 /0677400169/0658400165
Huduma muhimu Sana hii
 
Habari ndugu zangu mimi ni quantinty surveyor nimesomea chuo kikuu cha ardhi Dar es salaam hivyo bas napenda kutaarifu jamii kuwa nafanya kazi mbali mbali za kuhusu ujenzi wa majengo kama vile ukadiriaji gharama za ujenzi mfano kama una raman yako unataka ujenge ujui utatumia gharama gan nitafute nikufanyie

Kuandaa schedule of materia yaan hapa nitakufahamisha nyumba yako inaitaji mfano matofali mangap,cement mifuko mingap,zege cubic mita ngap na mchanga kias gan pia idadi za nondo n.k
kiujumla mambo yote yahusuyo ujenzi nafanya na pia naweza kukuchorea raman uipendayo na kutoa gharama zake za ujenzi

wasiliana nam kwa namba za hapo juu na hata kama utapenda kuniajili nikusimamie ujenzi wa nyumba yako au kufanya nawe kazi katika kampuni yako tunaweza kuongea
namba ni 0753757303/0677400169 au email lucaspmap@gmail.com tuma mchoro wako niuone tuongee kama utakuwa nao tayari.Pia nafanya kazi zote za finishes kama sub-contractor na unaweza kujengewa pia. Wadau kampun yangu ya ujenzi inaitwa Lupama Engineering Company limited 0677400169 nichekin tujenge pamoja
 
Habari ndugu zangu,

Mimi ni quantinty surveyor nimesomea chuo kikuu cha ardhi Dar es salaam hivyo basi napenda kutaarifu jamii kuwa nafanya kazi mbalimbali za ujenzi wa majengo kama vile ukadiliaji gharama, mfano kama una ramani yako unataka ujenge hujui utatumia gharama gani nitafute nikufanyie.

Kuandaa schedule of materia yaani hapa nitakufahamisha nyumba yako inaitaji mfano matofali mangapi, cement mifuko mingapi, zege cubic mita ngapi na mchanga kias gani pia idadi za nondo n.k

Kiujumla mambo yote yahusuyo ujenzi nafanya na pia naweza kukuchorea ramani uipendayo na kutoa gharama zake za ujenzi

Wasiliana nami kwa namba za hapo juu na hata kama utapenda kuniajili nikusimamie ujenzi wa nyumba yako au kufanya nawe kazi katika kampuni yako tunaweza kuongea, namba ni 0753757303/0677400169 au email lucaspmap@gmail.com tuma mchoro wako niuone tuongee kama utakuwa nao tayari.

Pia nafanya kazi zote za finishes kama sub-contractor na unaweza kujengewa pia. Wadau kampun yangu ya ujenzi inaitwa Lupama Engineering Company limited 0677400169 nichekin tujenge pamoja
 
Back
Top Bottom