Quattara wa Simba alichemka wapi, now hapati namba

Thailand

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2019
Posts
275
Reaction score
795
Quattara alianza vizuri akiwa anamuweka benchi Onyango, ila now mambo ime turn jamaa hajulikani alipatwa na nini haanzi kwenye kikosi cha kwanza
 
Quattara alianza vizuri akiwa anamuweka benchi Onyango, ila now mambo ime turn jamaa hajulikani alipatwa na nini haanzi kwenye kikosi cha kwanza
Lilikuwa kosa kubwa Sana kumwamini Ouatara na kumwacha Onyango. Maki alileta watu wake kuvuna Simba kama Mkongo wa Yanga alivyowaleta kina Ndama Mutoto ya Ng'ombe.
 
Oattara Ilikuwa ni usajili wa makosa makubwa kama.

Banda.
Dejan.
Kanute.
Sackho.
Okwa NK

IRP HANSPOPE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…