Queen Darleen katupwa au?

Full charge

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2018
Posts
1,678
Reaction score
1,617
Habari zenu wapenzi na wafuatilia muziki wa Tanzania na mashabiki kwa ujumla.

Hivi lebo ya WCB mbona kama imemtelekeza msanii wake (Queen darleen)? Awali alikuwa akifanya nao kazi na bila shaka alikuwa na mkataba hai tukiachana na suala la kuwa ndungu wa Nassibu Abduli Nyange.

Je sababu ya kuolewa laweza kuwa chanzo? Au lipo jambo linaendelea nyuma ya pazia? Nauliza si kwa ubaya bali ni kutaka kujua ukizingatia ni mtu maarufu na sisi ni mashabiki wake. 🙏

Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…