PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
Ohoooo!!!Alijiweka kidumedume sana,nani anataka bondia hahahahahah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hayo ndo madhara ya usela mavi
Yupi?huyu si alizaa na yule dakota aliyekuaga meneger wa mapacha wa tatu
Yupi?
Dakota Dela Vida abdra kadabra mtoto wa Bihindu wa kariakoo, Shabiki wa Simba Sport Club
Kumbe ni Tom BoyUsela Mwingi..
Ujuaji Mwingi..
Kelele Nyingi...
Mwanamke wa dizain hiyo ukitongozwa ujue mwanaume anataka nyapu tu na atakutosa,wanaume tunapenda kunyeyekewa kama Mfalme .
Aendelew na U Tom Boy Wake,Ndio Malipo Yake.
Mwangalieni na yeye jamanWanaume huwa tunaangalia, hatukurupuki!
Mama mkwe wake Kapinda sana yule Bihindu wa Simba na ni mswahilli sanaHuyo alieachana nae atakua kamtilia gundu watu hawaangalii shepu
[emoji1]Mwangalieni na yeye jaman