Alfan issa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,281
- 893
Watu MNA info duuuHuyu si alisema huwa hatongozwi bali yeye ndo anatongoza
Apate mwanaume kutoka njee ya Dar-es-salaam, lakini kwa apa Dar es salaam kashauza mechi nyingi sana. Kiasi kwamba tumemchoka. Matako meusiHuyu haitaji mdarisalama [emoji16][emoji16]
Kwani atasema basiMbona kuna tetesi wanasema anasagana huyu
Umapepe wake nn mkuu?funguka basiIla na yeye mapepe mno
Duh hatari sana [emoji145]View attachment 471460
Queen bana..Kila la heri. Mungu akusaidie umpate. Wambie wadogo zako waache kuwalingia wananume. Kwani watakuja kuwatafuta wakifika kipindi chako
Ngoja nizoomHahamasishi kutongozwa