Nina shangaa unashindwa kushangaa... picha kama hiyo haiwezi kumshangaza mtu kama Lady Gaga au Elle Degeneres....Wewe kama mwanamke nijuze niache kushangaa.khaa nimeshindwa kushangaa :confused2:
Wachezaji wanapofunga goli au wameshinda hawakusudii wanapo shikana pabaya..lakini mkiwa holiday mkashikana hivyo kuna walakini.
View attachment 12758
Nini kimewasibu hawa kina dada ambao nyuma walikuwa na mahusiano ambayo yanakubalika na Muumba na kuhamua kuanza mahusiano na watu wa jinsia yao?<?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-comπ±fficeπ±ffice" /><oπ></oπ>
Kichongeo kimetengenezwa kwa ajili ya kuchonga pencil, ukijaribu kuchonga kijiti ambacho kina size sawa na pencil hakichongi vizuri.sasa hawa kina dada kwenye relationships zao nyuma ni kwamba walipata pencils ambazo hazichongeki vizuri?<oπ></oπ>