QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

Bora umekuwa mkweli zaidi mkuu kila mtu ajue wiki mbili nakuendelea ndo mzigo unashuka
 
Ww jamaa kweli ni waajabu sana.sasa mm nakushangaa na wadau naomba mumushangae hata mm ninayo yote.so ww kinachokushinda nini kuiweka hapa unabaki unanilaumu na kulalamika mkuu.kwani mm nimesema story imetolewa nusu.
Lege kwa kutufanya sie watoto, Hili ni jibu alitoa bahada ya mdau kusema anayo story yote.
 
Ni kweli kabisaaa.mkuu season 4 ndio ipo jikono nadhani baada ya wiki 2 itakuwa tayari.

Kukaa mda mrefu ni hasara au utamu wa story wenyewe mkuu ningeendelea na kautaratibu kakuweka kidogo kidogo tusingekiwa tunapata brake ndefuu hivi.
Hapa pia katoa majibu haya!
Kule angesema ninayo season 3 yote ningemuelewa
lakini kasema anayo story yote yaani kuanzia season 1 mpaka mwisho
 
Mkuu LEGE wiki mbili ......uwiiiiiiiiiii napanic mkuu
 
Hapa pia katoa majibu haya!
Kule angesema ninayo season 3 yote ningemuelewa
lakini kasema anayo story yote yaani kuanzia season 1 mpaka mwisho
Wapi mkuu na nani
 
Lege kwa kutufanya sie watoto, Hili ni jibu alitoa bahada ya mdau kusema anayo story yote.
Mkuu.soma na uelewe kwa nyakati husika.

Kama utakuwa unachanganya nyakati itakuwia vigumu kuelewa.ulipoitoa hiyo comment soma za juu yake uone nilikuwa na mjibu nani na kwa suala lipi au hoja ipi?

Niamini mm mkuu hata hao waliosema wanayo wameweka namba zao wapigie au kuwatafuta uone wata kupa jibu gani wakikupa jibu tofauti na hili nichagulie adhabu au fidia ya kulipa kijf jf
 
Mkuu LEGE wengi hapa tunakuelewa sana maana tumetoka na wewe mbali sana.Kwahiyo usipoteze muda wako wa kutumalizia story yetu kwa kujibu watu ambao hawakuelewi.Kanyaga twende mkuu
 
Mkuu kuwa kama The Bold anawapa watu burudani hata usikii wakilalamika humu, mtu mpaka analishwa ban, lakini yupo tu. ushajitolea kuwaburudisha watu basi jitahidi uwawekee story kwa mida inayoeleweka, nafasi ya kuipata hiyo story we ndio unajua utabalance vipi.

Kipindi kile umewahita watu kutoka jukwaa la wakubwa walikuwa wanasoma story ya Danny wa vitumbua, ulianza na Peniella vizuri tu, hapo kati ukachanganya habari hivi hivi.

Mambo ya watu kutoa namba humu hayahusiki,
 


Mkuu Hebu Kuwa basi Hayo uloandika ni Mambo ya Kitoto kbs hukustahili
Yani sijui kwa nn watu wanakuwa Mabwege kias hiki

Lege Story zake Tunazipata Buree pasina kulipia chochote na Kwa upendo tu anaacha Shughuli zake na Kutuwekea Vitu humu ilitosha kbs baada ya yeye kuisoma akaendelea na Mambo yake lkn katukumbuka na Sisi

The bold namuheshim na Naiheshim kazi yake lkn Kuna Tofauti ya Watu hawa wawili
Kule Waliolipia wakaungwa ktk group la WhatsApp walisoma kwa Kasi Ambao hawakulipia Walibaki kuisoma Jf kwa Mwendo wa kinyonga
Kisha Ikahamishiwa ktk Web nyingine Ndo ikawa inapatikana Huko hili lilipelekea Ban

Sasa Mnyonge Mnyongeni ila......

Thank Lege Tunakusubiria
 
da lege.. wiki 2 nyng kweli... nashindwa nijitetetee nn kwa mke wangu... kwa maana kila siku usiku na msimulia... na nime mdanganya story natungamm mwnyw.. sasa wiki sasa kila siku usiku anataka aiendeleze... nashindwa hata nisemeje.. na nikirud leo nyumban lazima kiwake kwa maana leo nilimwambia namuendelezea... plz lege ondoa kelele za nyumbn kwangu
 
Haelewi keshaambiwa after two weeks ndo itatoka sasa anataka aweke nn?
 
Ni kweli kabisa mkuu na hii sasa imesababisha tuwe na brake ya mda mrefu sana sababu ya papara na haraka ya watu wengi kiasi mpaka cha kufika jikoni.

Ndio maana kuna mmoja humu alikwenda mpaka kwenye group la watsapp nakumbuka kipindi cha peniela na hata hii alichokikuta huko alinifuata inbox na kuniomba nintumie private nikasema burudani itawekwa hapa jukwaani jf tupo mbali zaidi ya huko kwenye group na mkitaka ruksa kuna mdau ashatoa namba hapa mnaweza kwenda kuinunua na kuna group pia wanalipia na kupewa kidogo kidogo.lkn wao bado wanasota but jf tumemaliza na mm mwanzo nilikuwa naweka kidogo kidogo ili kutokuwepo na brake kama now lkn wadau mlikuwa mnalalamika
 
[emoji13] [emoji13] [emoji13] watu hawaishi vituko
 
Unatafuta bwana sio?
Agongwe mwingine we ukate viuno?
Si angebaki nayo huko huko, kwani zimesomwa ngapi na huku hazijaletwa?
Kuleta story bure isiwe kigezo cha kuleta unavyojisikia.
 
Reactions: ADK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…