Mpera mpera wako umeanza tena thanks LEGE keep it upMWENDELEZO mpaka mwisho wa season 4 utakuwa baadae kwenye mida ya saa 4 hivi
Ndio Maana Yake Nitakupata Tu[emoji3] [emoji3] [emoji3] nshamwambia kitambo,kumbe mateja tuajuana eeeh
Mkuu tunasubiriMhhhh mkuu kwa kitabu hapana.aisee utasubili sana.peniele ipo mwanzo mwisho mwanbie akomae kuisoma tuu.
[emoji2] mke mweeLEGE acha maneno weka hadithi,arosto tulionayo ni ya viwango vya kimataifa
[emoji3] [emoji3] [emoji3] tupo kwenye foleni,nayo haisogei kabisa[emoji2] mke mwee