QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

Mkuu LEGE ukimaliza mpira basi lete mambo
 
kitabu cha paniela nacho hakipo??
Hakuna inabidi muelewe tuu kungekuw na kitabu msingeweza na isingewezekana mzisome story hizi mwanzo mwisho hapa kitabu angenunua nnai.

Kungekuwa kuna kitabu mngeonjeshwa tuu basi
 
Wakuu poleni sana.kweli nilitaja mda bila kuzingatia kuwa jana kulikuwa na mpira so nikanogewa na game mida hiyo nikawatosa lkn kwa kuwa leo week end inaendelea wacha niliamshe dude
 
shukrani LEGE....ila upo kwenye ubora wako wa WRONG PROMISE...!!...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…