QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

safi .sana mkuu Lege usikose kunitag na mm umekaa vyema sana .sasa najiuliza kwa nini hii story hutengenezi MUVI YA KUIGIZA?UTAPIGA HELA KHATARI.au unaweza kuuza scripts hizo kwa watu kama JB. ANAKUWA MZEE WA MIPANGO mukasha..MZEE CHILO NDIE RAISI.unamchukuwa Mr.Haji anakuwa ni austin.na unamchukuwa .majuto ktk position ya baba.na wengineo
 
Ww ni nani kwa lege mpaka useme hivyo tuwe Na akiba ya maneno

Unajuwa wangapi wanasubiri ila wapo kimyaaa
Nilichogundua lege anazingua kwa sabab tunambembeleza bora tukaze kama hatutaki vile atashusha mzigo mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…