inawezekana lakiniMim nawaambia ni yeye, uki connect dot hapo; kimbuka rais ernest alimtuma evans akamalize mukasha bila kina job na austine kujua
Unataka niongee ukweli upi mkuu.maana naweza nikaongea ukweli lkn bado mkaona kama nawapiga sound flan vilee lkn sio kweli na siwezi lazimisha uamini ukweli nikwambiao.Shida nikuwa hamuwi wakweli lege unajua kuongea ukweli huondoa utata wote
Hahaha mkuu wewe unaigiza arosto sio mwana arosto na kama ndio hivyo basi hujafikia kiwango changu cha arosto mkuu.Nemesis tuendelee boss ww mwana arosto mwenzetu si kama lege
Mkuu Nemesis kama vipi iweke yote kabisa tujue hii imemalizika watu tuweze kufokasi kwenye mambo mengine badala ya Monica!!
Miezi minne Sasa tangu tuanze kusumbuana Na LEGE!!
Mkuu kwahiyo mpaka lini tenaHahahaha hakuna kupumua hakuna focus wala nini mtajuta kuonja hii mizigo toka kwa patric maana ni mwendo wa bandika bandua.ikiisha hii napindisha mzigo mwingine.
Umeuliza kiunyonge [emoji2]Mkuu kwahiyo mpaka lini tena
Tunasubr Lege...Malizia hii utushushie nyingine[emoji8]Hahahaha hakuna kupumua hakuna focus wala nini mtajuta kuonja hii mizigo toka kwa patric maana ni mwendo wa bandika bandua.ikiisha hii napindisha mzigo mwingine.
[emoji15]
Mkuu siku mbili na nilikuwa nalala saa saba usiku ilinoga aisee.[emoji4]