jamiiyamtimkavu
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 274
- 192
Before I die na Beyond pain zinapatikana wapi?Huyu jamaa nimesoma kazi zake nne kabla ya hii ni mtunzi mzuri sana huyu.
Ukianza na ile,
Before I die.
Beyond pain
Miss Tanzania
Peniela
Na hii, jamaa yuko vizuri sana.
Before I die ipo humu humu ni nzuri saaaaaana. Naitaman hyo Beyond painBefore I die na Beyond pain zinapatikana wapi?
utafika tuuJamani ndo naianza season 4 sasa hivi ntawafikia kweli?
Before I die ya humu haikufika mwisho kama kumbukumbu zangu hazinidanganyiBefore I die na Beyond pain zinapatikana wapi?
WeweBefore I die ya humu haikufika mwisho kama kumbukumbu zangu hazinidanganyi
Zote zipo humu!Before I die ipo humu humu ni nzuri saaaaaana. Naitaman hyo Beyond pain
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kazi zake zingine za huyu patrick ambazo zipo humu jf tofauti na Queen monica na ulizozitaja unaweza nambia..???Huyu jamaa nimesoma kazi zake nne kabla ya hii ni mtunzi mzuri sana huyu.
Ukianza na ile,
Before I die.
Beyond pain
Miss Tanzania
Peniela
Na hii, jamaa yuko vizuri sana.
Mkuu ninazozifahamu ni hizo nilizozitaja hapo na zote zipo humu humu JF ukitafuta utazipata nashindwa tu kukuwekea link hapa.Mkuu kazi zake zingine za huyu patrick ambazo zipo humu jf tofauti na Queen monica na ulizozitaja unaweza nambia..???
saidie linkMkuu ninazozifahamu ni hizo nilizozitaja hapo na zote zipo humu humu JF ukitafuta utazipata nashindwa tu kukuwekea link hapa.
Iliisha Latoya aliolewaBefore I die ya humu haikufika mwisho kama kumbukumbu zangu hazinidanganyi
Umezisoma wapi Mkuuu?Huyu jamaa nimesoma kazi zake nne kabla ya hii ni mtunzi mzuri sana huyu.
Ukianza na ile,
Before I die.
Beyond pain
Miss Tanzania
Peniela
Na hii, jamaa yuko vizuri sana.
IMO robo sio yote kama zingine.Before I die ipo humu humu ni nzuri saaaaaana. Naitaman hyo Beyond pain
Sent using Jamii Forums mobile app
Beyond pain ipo umu mku??Huyu jamaa nimesoma kazi zake nne kabla ya hii ni mtunzi mzuri sana huyu.
Ukianza na ile,
Before I die.
Beyond pain
Miss Tanzania
Peniela
Na hii, jamaa yuko vizuri sana.
Ndio mkuu ipo humu
Mkuu hizi zimo humu ndani jf..??Pia Ana Kazi zifuatazo
The white house
Bring back our girl