ADC Party
Member
- Sep 14, 2020
- 28
- 29
Nitaboresha urafiki na sekta binafsi ili kuzidi kukuza uchumi wa ndani, fursa za kutosha katika mkoa wa singida ikiwemo kilimo ili vijana waweze kunufaika.
''Kwa sasa sekta binafsi na serikali kumekua na uadui japo wanacheka kwa nje ila ndani wana maumivu, idadi ya makampuni ambayo yanafunga biashara zao na kusababisha wimbi kubwa la vijana wetu kurudi mitaani yanaongezeka. Naomba mnichague tarehe 28, tukakuze uchumi wa watu wetu na nchi kwa ujumla.''
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameyasema haya alipokua anaendelea na Kampeni zake Mkoani Singida Msufini katika viwanja vya OTU.
Kesho atakua Babati - Manyara
"
''Kwa sasa sekta binafsi na serikali kumekua na uadui japo wanacheka kwa nje ila ndani wana maumivu, idadi ya makampuni ambayo yanafunga biashara zao na kusababisha wimbi kubwa la vijana wetu kurudi mitaani yanaongezeka. Naomba mnichague tarehe 28, tukakuze uchumi wa watu wetu na nchi kwa ujumla.''
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameyasema haya alipokua anaendelea na Kampeni zake Mkoani Singida Msufini katika viwanja vya OTU.
Kesho atakua Babati - Manyara
"