Uchaguzi 2020 Queen Sendiga baada ya Mbeya arudi Iringa kukamilisha Kampeni zake zilizoharibika wiki iliyopita kutokana na vurugu zilizotokea

Uchaguzi 2020 Queen Sendiga baada ya Mbeya arudi Iringa kukamilisha Kampeni zake zilizoharibika wiki iliyopita kutokana na vurugu zilizotokea

ADC Party

Member
Joined
Sep 14, 2020
Posts
28
Reaction score
29
Moja ya mikoa iliyobarikiwa ardhi yenye rutuba na Hali ya hewa ya kurutubisha mazao ya biashara kama nyanya,vitungui,mahindi na mbogamboga ni Iringa, lakini mazao haya yanaonekana maeneo mengi ya mashambani na sokoni yakioza kwa kukosa soko la kutosha na hii inazidisha Hali ya umaskini kwa mkulima wa iringa. Mh Queen amesema endapo.

Watanzania wakitupatia ridhaa ya kuongoza nchi hii ifikapo 28/10/2020 tunakwenda kujenga viwanda vya kutosha kulingana na uzalishaji uliopo mkoani hapa ili kuongeza tija kwa wakulima na ajira wa Wana Iringa.

Mh Queen pia ameomba wananchi wa Jimbo la Iringa mjini kumchagua mgombea Ubunge wa ADC Mh Daudi Issa Masasi ili aweze kutekeleza Ilani ya chama cha ADC.

Pia amewakumbusha watanzania kutumia Hali yao ya kikatiba kuchagua viongozi hivyo wajitokeze kwa wingi kupiga Kura ifikapo tarehe 28/10.

Mh Queen anaendelea na ziara zake za lala salama katika mkoa wa Singida, aliporudi kukamilisha ratiba kutokea na kushindwa kuzifanya week iliyopita kutokea vurugu zilizotokea. Ameongea haya akiwa Stand ya zamani , Iringa Mjini.

514137953.jpg
1169791612.jpg
1901521859.jpg
112981875.jpg
950240038.jpg
 
Her Exellency Madam President Queen Sendiga akiwa katika kampeni zake za lala salama kabla ya Uchaguzi Mkuinwa Mwishoni mwa mwezi huu wa Oktoba 2020!

Matarajio ni kukabidhiwa rasmi Ikulu na Rais aliyemaliza muda wake Ndugu Dr. John Pombe Joseph Magufuli mara tu baada ya kutangazwa kuwa Rais wa kwanza Mwanamke Nchini Tanzania.
 
Mgombea mzuri anahoja nzuri ila chama chake kinaonekana wazi ni kabanda cha kuvunia ufuta kwa Ccm
 
Hivi ni vyama vinavyotumika na ccm kupunguza kura za chadema tujikumbushe tu hivi vyama ndo vilimshtaki mgombea wetu kwa NEC asimamishwe kufanya kampeni siku saba
 
Back
Top Bottom