Uchaguzi 2020 Queen Sendiga kuhakikisha wananchi wa mkoa wa Tanga wananufaika na zao la mkonge

Uchaguzi 2020 Queen Sendiga kuhakikisha wananchi wa mkoa wa Tanga wananufaika na zao la mkonge

ADC Party

Member
Joined
Sep 14, 2020
Posts
28
Reaction score
29
Mkoa wa Tanga ni moja ya miji mikongwe na yenye kila aina ya rasilimali.

Ukiacha ardhi Bora,madini, bahari misitu ya asili mkoa wa Tanga ni maarufu kwa zao la mkonge,licha ya umaarufu wa zao Hilo na faida zake kwa wakulima na Taifa bado wananchi wa mkoa wa Tanga hawana faida na mkonge kwa miaka mingi sasa

Endapo ADC itapata ridhaa ya kuongoza nchi hii kupitia sera yake ya maboresho ya kilimo kww mtanzania itaenda kurudisha hadhi ya zao la mkonge,kwanza itarejesha mashamba kwa wananchi ambayo kwa sasa yako kwa watu binafsi waliokodishwa na mamlaka za mkonge,hii itasaidia kumfanya mkulima apate uhakika wa kipato baada ya kuvuna,ajira zitaongezeka na pato la mkulima,mkoa na nchi litaongezeka.

Lengo ni kuboresha maisha ya watanzania katika kila sekta

Queen Sendiga mgombea urais kupitia chama cha ADC ameyasema hayo akifunga kampeni zake mkoa wa Tanga wilaya ya handeni kunadi Ilani ,Sera za ADC na kuomba watanzania wamchague ili apate nafasi ya kuwatumikia,Queen ameongea na wananchi wa Michungwani, Kabuku,Komkonga ,Mkata na Manga

Pia amesisitiza vipaumbele vya ADC Elimu,Afya na Kilimo kwamba ndio dira ya kumfikisha mtanzania katika mabadiliko ya kimaendeleo na kiuchumi

Pia amemnadi mgombea Ubunge Jimbo la handeni vijijini Mh Doyo Hassan Doyo na kuwaasa wananchi wa Handeni kuacha kuchagua vyama kwa mazoea.

Queen anaendelea na kampeni zake mkoa wa Dar es Salaam na kesho atakua wilaya ya Ilala.

734945364.jpg
1434174134.jpg
1255853917.jpg
174545627.jpg
1487182943.jpg
 
Huyu mama anapiga kazi kimya kimya

Usishangae akashika nafasi ya pili akawabwaga Chadema wanaonadi matusi
 
Mkoa wa Tanga ni moja ya miji mikongwe na yenye kila aina ya rasilimali.

Ukiacha ardhi Bora,madini, bahari misitu ya asili mkoa wa Tanga ni maarufu kwa zao la mkonge,licha ya umaarufu wa zao Hilo na faida zake kwa wakulima na Taifa bado wananchi wa mkoa wa Tanga hawana faida na mkonge kwa miaka mingi sasa

Endapo ADC itapata ridhaa ya kuongoza nchi hii kupitia sera yake ya maboresho ya kilimo kww mtanzania itaenda kurudisha hadhi ya zao la mkonge,kwanza itarejesha mashamba kwa wananchi ambayo kwa sasa yako kwa watu binafsi waliokodishwa na mamlaka za mkonge,hii itasaidia kumfanya mkulima apate uhakika wa kipato baada ya kuvuna,ajira zitaongezeka na pato la mkulima,mkoa na nchi litaongezeka.

Lengo ni kuboresha maisha ya watanzania katika kila sekta

Queen Sendiga mgombea urais kupitia chama cha ADC ameyasema hayo akifunga kampeni zake mkoa wa Tanga wilaya ya handeni kunadi Ilani ,Sera za ADC na kuomba watanzania wamchague ili apate nafasi ya kuwatumikia,Queen ameongea na wananchi wa Michungwani, Kabuku,Komkonga ,Mkata na Manga

Pia amesisitiza vipaumbele vya ADC Elimu,Afya na Kilimo kwamba ndio dira ya kumfikisha mtanzania katika mabadiliko ya kimaendeleo na kiuchumi

Pia amemnadi mgombea Ubunge Jimbo la handeni vijijini Mh Doyo Hassan Doyo na kuwaasa wananchi wa Handeni kuacha kuchagua vyama kwa mazoea.

Queen anaendelea na kampeni zake mkoa wa Dar es Salaam na kesho atakua wilaya ya Ilala.

View attachment 1611775View attachment 1611776View attachment 1611777View attachment 1611778View attachment 1611780
Hongera Queen Sendiga kuteuliwa RC.
Pasco
 
Back
Top Bottom