Upuuzi tuu wa mafisadi wa Africa,wanatupotezea pesa zetu tuu wanazotumia kusafiri,bora wakatembelee watu wao kuhamasisha maendeleo.
you is gay
...queer utawajua tuu,straight man hawezi kumwambia mwingine kuwa ni gay ila anatetea haki ua kila mtu,usiwe kama baba zako republican wanapinga bills zote kuhusu gays then wanakuja kushikwa bathrooms za minneapolis wanachombeza!
Bluray,
..hata mimi i noticed that something was wrong with Gaddafi during Larry King interview.
..ama anaumwa, au anatumia ulevi wa aina fulani. yaani alionekana kama ni mtu aliyechoka na kukosa matunzo.
..pamoja na hayo sioni faida ya Gaddafi kuhudhuria hivyo vikao. he is too erratic and incoherent.