Rapherl
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 3,504
- 2,256
Kama umewahi kuona video ya wimbo wa Ryan Leslie ya How It Was Supposed To Be(Military-theme)dakika ya kwanza utaona kuna kipande wanaimba jamaa watatu wakiwa na Ryan na ukaangalia huu wimbo mpya wa Quick Racka ft Mangwea(R.I.P)-My Baby utakubaliana na mimi huu wimbo ume-Copy vitu vingi kutoka kwenye kile kipande(kama si kila kitu)...
Je,ndo tuseme huyu jamaa alikuwa hajui au kafanya makusudi au aliomba haki ya kutumia vionjo vya ule wimbo?!
Kama kuna mtu anajua chochote kuhusu ule wimbo anaweza kushea nasi hapa...
NB:Sijuii jinsi ya ku-attach link kama kuna mtu anaweza naomba a-attach link za nyimbo zote mbili watu waelewe ninachosema.
Je,ndo tuseme huyu jamaa alikuwa hajui au kafanya makusudi au aliomba haki ya kutumia vionjo vya ule wimbo?!
Kama kuna mtu anajua chochote kuhusu ule wimbo anaweza kushea nasi hapa...
NB:Sijuii jinsi ya ku-attach link kama kuna mtu anaweza naomba a-attach link za nyimbo zote mbili watu waelewe ninachosema.