Assumption:
Mtu akifa hazeeki tena. hivyo akifufuka atarudia umbo na hali aliyokuwa nayo wakati anakufa
duh!!inamaana watakua naked au??Itakua balaa maana HAWA lazima alikua bomba sana mpaka Adam akashindwa na shetani!!mimi ntamtambua Adam kwa ugomvi wa kumpigania HAWA na HAWA nitamtambua kutokana na idadi kubwa ya majamaa watakaokua wanamsalandia!!Hapo vipi mwanewane??Swali:
Inasadikika kwamba Adam na Hawa ndio binaadamu wa mwanzo.Baada ya uasi pale bustanini walilaaniwa na wote baadae walikufa.
Endapo wafu wote watafufuka leo hii na ukatakiwa uwatambue Adam na Hawa, je utatumia vigezo/kigezo gani kuwatambua?
Kazi kwenu!
duh!!inamaana watakua naked au??Itakua balaa maana HAWA lazima alikua bomba sana mpaka Adam akashindwa na shetani!!mimi ntamtambua Adam kwa ugomvi wa kumpigania HAWA na HAWA nitamtambua kutokana na idadi kubwa ya majamaa watakaokua wanamsalandia!!Hapo vipi mwanewane??
Hawana vitovu. Period.
Hii nimeipenda. Pia Adam atakuwa na mbavu pungufu (labda 23 badala ya 24).Hawana vitovu. Period.
Una akili sana! Kwa kuwa hawa waumbwa moja kwa moja tokana na udongo na kupuliziwa pumzi ya Mungu kwa hiyo hawakuzaliwa! Hawatakuwa na vitovu!
You must be geneous!
You must be geneous!