Quotable Quotes of Mwl. JK Nyerere : Collected from speeches and writings. Publisher ni mkuki na nyota.
Kitabu hiki ni kizuri sana ambacho kinafaa kisomwe na kila mtanzania ambaye hakujaliwa kusoma vitabu vya Mwalimu.
Ni mkusanyiko wa mawazo na misemo kutoka katika hotuba za mwalimu wakati wa uhai wake.
Swali langu ni hili:
Je Mwalimu na familia yake wamenufaika vipi kutokana na kuchapishwa kitabu hiki?
Je mawazo ya Baba wa Taifa, hotuba, vitabu,namajarida hayana Intellectual Property rights?
Siku hizi kuna watu wanajitafutia umaarufu na utajiri kupitia jina la Mwalimu Nyerere.
Je MH. Makongoro hili swala unalisemea nini? Mama Maria na familia yote ya Mwalimu munafaidika vipi kutokana:
Uwanja wa ndege wa kimataifa, Chuo cha Kivukoni n.k
Mwalimu Nyerere ni jina takatifu, si la kutumiwa ovyo ovyo tu nanyi watoto mmekaa kimya na mafisadi yanatajirikia kwenu.
Sijui kama Mh Liundi alipata ruksa kutoka wapi wa kuchapisha mawazo ya Baba wa Taifa halafu pesa anaweka mfukoni.
Naomba kujua kama familia, mwalimu Nyerere Foundation na Tanzania kwa ujumla kama wamepata share yoyote.
Naomba kufahamishwa na ikibidi TAMKO rasmi litolewe ili tujue kama hili jina tukufu linaweza kutumika hovyo hovyo kutengeneza pesa.
Naomba KUWAKILISHA:disapointed:
Kitabu hiki ni kizuri sana ambacho kinafaa kisomwe na kila mtanzania ambaye hakujaliwa kusoma vitabu vya Mwalimu.
Ni mkusanyiko wa mawazo na misemo kutoka katika hotuba za mwalimu wakati wa uhai wake.
Swali langu ni hili:
Je Mwalimu na familia yake wamenufaika vipi kutokana na kuchapishwa kitabu hiki?
Je mawazo ya Baba wa Taifa, hotuba, vitabu,namajarida hayana Intellectual Property rights?
Siku hizi kuna watu wanajitafutia umaarufu na utajiri kupitia jina la Mwalimu Nyerere.
Je MH. Makongoro hili swala unalisemea nini? Mama Maria na familia yote ya Mwalimu munafaidika vipi kutokana:
Uwanja wa ndege wa kimataifa, Chuo cha Kivukoni n.k
Mwalimu Nyerere ni jina takatifu, si la kutumiwa ovyo ovyo tu nanyi watoto mmekaa kimya na mafisadi yanatajirikia kwenu.
Sijui kama Mh Liundi alipata ruksa kutoka wapi wa kuchapisha mawazo ya Baba wa Taifa halafu pesa anaweka mfukoni.
Naomba kujua kama familia, mwalimu Nyerere Foundation na Tanzania kwa ujumla kama wamepata share yoyote.
Naomba kufahamishwa na ikibidi TAMKO rasmi litolewe ili tujue kama hili jina tukufu linaweza kutumika hovyo hovyo kutengeneza pesa.
Naomba KUWAKILISHA:disapointed: